Nimeipenda hii koment na huu ndio ukweli
Kuna stress nyingi kwenye ndoa ambazo mke anazisababisha kwa mumewe!
Mwanaume hupandwa na stress na ghadhabu Kali ambazo ni hatari kwa afya ya mume, na Mara kadhaa hasira hizi zinaweza kuleta hatari iwapo mume ataamua kuchukua hatua dhidi ya mkewe
Ni ajabu Sana, mastress, mahasira huyeyuka Kama barafu pale mume mwenye hasira anapomkumbuka mchepuko wake, Niwape Siri wadada, kuwa pale wanapoona wanamshambulia mume kwa matusi, kumkashifu, kumnyima tendo la ndoa,na huyo mume yupo normal, au hata sometimes anatabasamu tu bila kughadhibika na kufanya Jambo la hasira, wajue fika hio Ni nguvu ya mchepuko!
Kwa kweli ndoa yenye afya inahitaji mchepuko, na hii Ni kwa sababu tu wanawake wamepoteza uwezo wa kuhandle ndoa zao.
Ila please, kwa heshima ya mke, mchepuko awe pisi kali, na aheshimu ndoa ya mwanamume!
Kuna stress nyingi kwenye ndoa ambazo mke anazisababisha kwa mumewe!
Mwanaume hupandwa na stress na ghadhabu Kali ambazo ni hatari kwa afya ya mume, na Mara kadhaa hasira hizi zinaweza kuleta hatari iwapo mume ataamua kuchukua hatua dhidi ya mkewe
Ni ajabu Sana, mastress, mahasira huyeyuka Kama barafu pale mume mwenye hasira anapomkumbuka mchepuko wake, Niwape Siri wadada, kuwa pale wanapoona wanamshambulia mume kwa matusi, kumkashifu, kumnyima tendo la ndoa,na huyo mume yupo normal, au hata sometimes anatabasamu tu bila kughadhibika na kufanya Jambo la hasira, wajue fika hio Ni nguvu ya mchepuko!
Kwa kweli ndoa yenye afya inahitaji mchepuko, na hii Ni kwa sababu tu wanawake wamepoteza uwezo wa kuhandle ndoa zao.
Ila please, kwa heshima ya mke, mchepuko awe pisi kali, na aheshimu ndoa ya mwanamume!