Galapagosi
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 2,849
- 2,628
Heshima kwao.
Mkuu harusi nimetoa tu km mfano rahisi,lkn yapo matukio mengi..! Mkuu kulea na kumsomesha hakuondoi ukweli kuwa yule ndo baba yake..tena akiwa masikini huyo baba halisi,ndo atapewa nafasi kubwa zaidi iwapo mtoto atafanikiwa..!Unafikiri harusi tu? Vipi labda akiapishwa kuwa Rais huyo mtoto ataenda mkeo na wewe au utamwacha mkeo na jamaa?
Kama wewe ndiye ulimlea na kumsomesha..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sababu ya wewe kufeli ktk mahusiano yaliyopita haitoshi mkuu kutuaminisha hili. Pia ni mapema mno kusema haya. Endelea tu kumpatia mahala pa kupumzikia huyo dada.ushauri wangu wanawake waliozaa ni wazuri zaidi kuwa nao kwenye mahusiano.
Mkuu kwani kuna tatizo? Kuna tofauti gani kati ya single mother na aliyechoropoa mimba zaidi ya 5? Tatizo la vijana kujifanya hamtaki waliozaa ni kuona familia, ndugu na marafiki watakuchukuliaje..
Tena bora ya single mother wengi wao 80% hawajatoa mimba kuliko wale ambao hawajazaa alafu ukiambiwa mimba alizochoropoa unaweza hata kukaa nae kumpa rounds za bia unaona kinyaa.. Follow your heart not opinions of others..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, inakuwa hivi, unamwambia tu huyo binti kama baba wa mtoto anauwezo wa kumlea huyo mtoto then kuliko awe analeta pesa nyumbani ni heri akae nae.. Kama hana uwezo basi hakuna haja ya kuleta chochote na wewe utahudumia kila kitu..Mkuu;
Do we marry by following the opinions of others?? Hapana, hapana. Sioi kwa sababu nasikiliza nani anasema nini. Naoa yule moyo wangu umempenda na nina amani naye.
Ninachokisema sio kuhusu watoa mimba, hapana, nasema, sikuziona hizo mimba, sikuwaona baba zao. Ila nimewaona watoto wake na najua baba zao watakuja kuleta malisho kwa watoto wao. Je, siku wakileta tukakutana sebuleni kwangu itakuwaje?? Wivu wangu utakaaje?? Je, ikitokea my wife kaenda kuzichukulia hata huko mjini kwa ustawi wa jamii, akacheleweshwa na ofisa aliyetoka kidogo kwa dharura, nitaamini vipi kuwa hakuenda pasha kiporo?? Sitaki familia ya kudhaniana
Diamond anaonyesha kumjali baba yake aliyemzaa? Diamond hajafanikiwa? Wapo wengi sana ambao walilelewa na mama na baba wa kambo ambao hawataki hata kidogo kuwasikia baba zao waliowazaa..Mkuu harusi nimetoa tu km mfano rahisi,lkn yapo matukio mengi..! Mkuu kulea na kumsomesha hakuondoi ukweli kuwa yule ndo baba yake..tena akiwa masikini huyo baba halisi,ndo atapewa nafasi kubwa zaidi iwapo mtoto atafanikiwa..!
Ni changamoto kubwa sana,sema ndo hivyo ukioa mama aliyezaa no way inabidi ukubali yote!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, inakuwa hivi, unamwambia tu huyo binti kama baba wa mtoto anauwezo wa kumlea huyo mtoto then kuliko awe analeta pesa nyumbani ni heri akae nae.. Kama hana uwezo basi hakuna haja ya kuleta chochote na wewe utahudumia kila kitu..
Nimesema opinions ni kwakuwa hiyo post yako umeiandika kwa ushawishi wa kuwashawishi wengine wasiwaoe hao single mothers, hivi kwa mfano ukiyatamka maneno hayo mbele ya mdogo wako ambae anakuheshima anaweza kuoa single mother?
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh!!!Kweli kua uone mengi. Huwa najiuliza;
Mimi nitakuwa na nini cha zaidi niweze kumtuliza huyu ambaye amekuwa kwenye mapenzi na limjamaa lingine hadi kupata mtoto/watoto halafu leo wakaachana??
Hivi tumefika mahali, kijana huna tatizo kabisa uende kumchumbia "Used"?? Huyo mwenye watoto akileta hela ya kumlea mwanaye akikukuta hapo huwa anakuonaje?? Naomba msinielewe vibaya tu ila ningeliomba wadada ambao hamjaingia uwanja huu wa single mums mnisome muone hatari iliyopo.
Wakikutana hapo kwako, huwa unajisikiaje?? Huenda nina wivu kupindukia ila, my wife wangu sitaki hata apimwe Preg na lidume flan. Natamani amkute dk wa kike.
Wadada, msijirahisishe na ninyi vijana, msiwasikilize waliokwisha kata tamaa ka huyu mleta mada hii. Usikubali used, hao wana waliofiwa na wake zao. Wawachukue hao, wawapiganie hao ili wapate viwanja vya kuzikiwa.
Habari wakuu.
Nimekua nikiona watu wa karibu naowafaham na wengine kuwasikia tu wanakua kwenye mahusiano na wanawake waliozaa tayari lakini sikua nawachukulia serious kivile lakini hivi sasa naamini ukitaka kaa kwenye mahusiano yaliyo na amani basi kuwa kwenye mahusiano na mwanamke ambaye tayari kazaa..
Nimekua na mahusiano na wanawake kadhaa huko nyuma lakini wote kwa njia moja ama nyingine hawakuwa vile nilivotarajia, kuna baadhi walikua na akili za kitoto kutofikiria future zao, wengine hawakua wametulia kwenye mahusiano n.k
Lakini mwaka jana nilikutana na mwanamke mmoja ambaye kweli mrembo lakini nilikuja gundua ana mtoto ingawa nilifikiria vunja mahusiano kwa kuamin hatanifaa ila nikaamua jipa moyo kuendelea nae.
Mpaka hivi sasa nafurahia mahusiano yetu na zaidi ya viugomvi vya kawaida kwenye mahusiano, naweza kumtambulisha hata kwa marafiki zangu, ingawa hunishangaa kuwa na mahusiano na mwanamke aliezalishwa kwingine!..
ushauri wangu wanawake waliozaa ni wazuri zaidi kuwa nao kwenye mahusiano.
Kwa uzoefu wako hadi sasa unafikiri ni kwa nini wanakuwa na tabia hiyo kwenye mahusiano baada ya kuwa wameshazaa?
Machuchu yako tu mm hoi taabaniMbona umejichubua ivyo au vumbi la koromije