Ni ukweli uliobayana
Wako kiheshima na upendo zaidi
Wengi hawapendi kukumbukia matatatizo na shida za mapenzi za nyuma.
Kweli kua uone mengi. Huwa najiuliza;
Mimi nitakuwa na nini cha zaidi niweze kumtuliza huyu ambaye amekuwa kwenye mapenzi na limjamaa lingine hadi kupata mtoto/watoto halafu leo wakaachana??
Hivi tumefika mahali, kijana huna tatizo kabisa uende kumchumbia "Used"?? Huyo mwenye watoto akileta hela ya kumlea mwanaye akikukuta hapo huwa anakuonaje?? Naomba msinielewe vibaya tu ila ningeliomba wadada ambao hamjaingia uwanja huu wa single mums mnisome muone hatari iliyopo.
Wakikutana hapo kwako, huwa unajisikiaje?? Huenda nina wivu kupindukia ila, my wife wangu sitaki hata apimwe Preg na lidume flan. Natamani amkute dk wa kike.
Wadada, msijirahisishe na ninyi vijana, msiwasikilize waliokwisha kata tamaa ka huyu mleta mada hii. Usikubali used, hao wana waliofiwa na wake zao. Wawachukue hao, wawapiganie hao ili wapate viwanja vya kuzikiwa.