adrenaline
JF-Expert Member
- Jun 17, 2015
- 2,887
- 4,386
Kwa Network ipi waliyo nayo hasa?
Acha ushamba bwana, sasa hivi ni soko huru na kinacho matter ni huduma kwa wateja.Nizungumze kizalendo kabisa kuhusu hii Ttcl hii ni kampuni ya Serikali inatutosha kabisa katika suala la mawasiliano na ushindani nchini
Uwekezaji wa ttcl ukiangalia walivyosambaza cable kila pahala sio uwekezaji mdogo ni uwekezaji mkubwa sana
Halotel ndio mtandao pekee ambao sehemu mitandao mingine haipatikani wao wanapatikana wako vizuri mno hata uende vijijini vipi halotel inadakaKizuri cha jiuza mkuu. Ttcl hawako serious, mimi nilishangaa mwaka 2015 nlienda kagrra huko vijijini nikashangaa watu wengi wanatumia halotel ambayo kiukweli haikuwa na muda sokoni.
Ttcl hawako kibiashara. Ukilazimisha watu wanunue line watanunua na hawataitumia unless uyaue makampuni menginr kama walivyofanya kwa fastjet ili airtz ishike soko
Sijajua kwann ttcl hawako serious. Kuna kipindi hata upatikanaji wa vocha ilikuwa shida. Kuna kipindi nilikuwa naishi mivumoni hapo, nikanunua ttcl line, aisee network ilikuwa shida niliacha itumia next dayHalotel ndio mtandao pekee ambao sehemu mitandao mingine haipatikani wao wanapatikana wako vizuri mno hata uende vijijini vipi halotel inadaka
Huna akiliNizungumze kizalendo kabisa kuhusu hii Ttcl hii ni kampuni ya Serikali inatutosha kabisa katika suala la mawasiliano na ushindani nchini
Uwekezaji wa ttcl ukiangalia walivyosambaza cable kila pahala sio uwekezaji mdogo ni uwekezaji mkubwa sana
Ni wazo zuri lakini serikali haijawahi kuwa na kitu kizuri angalia mfano TBC uwekezaji ni mkubwa ila huduma zao ni zaidi ya utopolo hamna mtu mwenye akili timamu anaweza kukaa na kuangalia na hao ttcl ndio walewale tu hawana jipyaNizungumze kizalendo kabisa kuhusu hii Ttcl hii ni kampuni ya Serikali inatutosha kabisa katika suala la mawasiliano na ushindani nchini
Uwekezaji wa ttcl ukiangalia walivyosambaza cable kila pahala sio uwekezaji mdogo ni uwekezaji mkubwa sana
Vocha za TTCL mitaani sehemu kubwa hazipo!Sijajua kwann ttcl hawako serious. Kuna kipindi hata upatikanaji wa vocha ilikuwa shida. Kuna kipindi nilikuwa naishi mivumoni hapo, nikanunua ttcl line, aisee network ilikuwa shida niliacha itumia next day
Yani haikui miaka rudi miaka nenda iko pale pale nishapokea miamala toka mitandoa yote lakini siyo ttcl 🤣Vocha za TTCL mitaani sehemu kubwa hazipo!
Ulazima unatoka wapi? Kwa sababu gani?Iwe ni lazima kila mtanzania kumiliki line ya TTCL
Hakuna kampuni ya simu inaendeshwa kipuuzi kama hii ya TTCL,,Nizungumze kizalendo kabisa kuhusu hii Ttcl hii ni kampuni ya Serikali inatutosha kabisa katika suala la mawasiliano na ushindani nchini
Uwekezaji wa ttcl ukiangalia walivyosambaza cable kila pahala sio uwekezaji mdogo ni uwekezaji mkubwa sana