kaachonjo
JF-Expert Member
- Oct 27, 2012
- 203
- 68
Nchini Korea Kaskazini ili uweze kumiliki computer unahitaji kibali cha polisi na hivyo basi unatakiwa kuandika maelezo ya ni kwa nini uruhusiwe kumiliki computer. Vipi hapa Tanzania?
Huduma ya internet inapatikana tu kwa viongozi wa juu wa kisiasa nchini humo, wanafunzi wa vyuo vikuu, na maafisa wa serikali.
Nchi hiyo inakadiriwa kuwa na tovuti kati ya 1,000 mpaka 5,500 kwa mujibu wa gazeti la Toronto Newz la Marekani. Computer zote zinazotumiwa nchini Korea Kaskazini zinatumia operating system moja inayoitwa Red Star OS ambayo inafanana sana na iOS ambayo ilitengenezwa hukohuko Korea Kaskazini. Wenyewe wanadai ni kwa sababu za kiusalama wa mifumo yao ya computer.
Kwa sasa watumiaji wa mtandao waliopo hewani online users wanakadiliwa kufikia 3,417, 209, 810 na hivyo kupelekea umoja wa mataifa July 2016 kupitia azimio lake nambari A/HRC/32/L.20. kuitangaza “online freedom” kuwa ni sehemu ya haki za binadamu (Human Rights).
Vipi hapa nyumbani?
Huduma ya internet inapatikana tu kwa viongozi wa juu wa kisiasa nchini humo, wanafunzi wa vyuo vikuu, na maafisa wa serikali.
Nchi hiyo inakadiriwa kuwa na tovuti kati ya 1,000 mpaka 5,500 kwa mujibu wa gazeti la Toronto Newz la Marekani. Computer zote zinazotumiwa nchini Korea Kaskazini zinatumia operating system moja inayoitwa Red Star OS ambayo inafanana sana na iOS ambayo ilitengenezwa hukohuko Korea Kaskazini. Wenyewe wanadai ni kwa sababu za kiusalama wa mifumo yao ya computer.
Kwa sasa watumiaji wa mtandao waliopo hewani online users wanakadiliwa kufikia 3,417, 209, 810 na hivyo kupelekea umoja wa mataifa July 2016 kupitia azimio lake nambari A/HRC/32/L.20. kuitangaza “online freedom” kuwa ni sehemu ya haki za binadamu (Human Rights).
Vipi hapa nyumbani?