Mwanafalsafa
Platinum Member
- Jun 24, 2007
- 657
- 847
Habari zenu Wadau,
Kama unatembelea jukwaa hili la sheria, ina maanisha tayari unafahamu umuhimu wa sheria katika maisha yako ya kila siku.
Lakini ukitaka kujifunza sheria program zilizopo Tanzania kwa sasa ni ndefu na za gharama. Inabidi ujipange.
Hivyo basi, baada ya kuwa nimepitia Program za Mafunzo ya Sheria Tanzania, na kufanya practical za kuendesha kesi Mahakamani nimewatengenezea Program ya Ukweli YA MWEZI MMOJA TU ambayo itakufundisha mambo yote ya msingi ya kukuwezesha kutatua matatizo yako yote ya kisheria wewe mwenyewe.
Ukitaka Wakili basi iwe umeamua tu. Mfano ubize umekubana,
Program nii inatwa ONE-MONTH LAWYER.
MAFUNZO YATAANZA JUMATATU YA 23/9/2019
Mada (Silabasi) ni kama ifuatavyo:
1. SHERIA NI NINI?
=> Maana, historia, na tofauti kati ya jinai na madai.
2. VYANZO VYA SHERIA
=> Katiba, Sheria za Bunge, Sheria za Mapokeo, Sheria za Kimataifa, Mila na Utamaduni, Hukumu za Mahakama
3. SHERIA MUHIMU ZA JINAI UNAZOTAKIWA KUJUA
=> Kanuni ya adhabu, Mwenendo wa jinai, Sheria ya Ushahidi, na jinsi ya kuvibaini vifungu vya jinai kwenye sheria zote
4. SHERIA MUHIMU ZA MADAI UNAZOTAKIWA KUJUA
=> Madhara, Mkataba, Mwenendo wa madai, Ndoa, Ardhi, n.k.
5. MAHAKAMA
=> Sheria iko Mahakamani. Hapa utajifunza aina zote za Mahakama, ziko wapi na zinafanyeje kazi
6. JINSI YA KUSHINDA KESI MAHAKAMANI
=> Kutathmini kesi, kuandaa nyaraka, kuandaa ushahidi, milango ya kutokea (loopholes), na jinsi ya kuongea.
ADA NI
TSHS. 50,000/- Kwa darasa la mtandaoni (kupitia app ya Telegram)
TSHS. 100,000/- Kwa darasa la uso kwa uso
SI HAYO TU...
Ukishamaliza kozi hii utapatiwa Cheti cha Kuhitimu, na utaunganishwa na Group Exclusive la Mtandaoni la wahitimu wote na wakufunzi wao ambapo lengo kuu ni kuhakikisha hakuna kesi yoyote ambayo itakusumbua milele. Ukiwa na kesi utaileta hapo kwenye group na utapewa nyenzo zote za kuimaliza hiyo kesi kuanzia Vyanzo vya Kisheria vya Kutumia, Nyaraka za Kupeleka Mahakamani, na Hoja za Ushindi.
Kama umevutiwa ingia Waiting Room kupitia link hii ya Telegram
Waiting Room unaweza ukauliza maswali, na utapewa maelekezo zaidi.
Kama unatembelea jukwaa hili la sheria, ina maanisha tayari unafahamu umuhimu wa sheria katika maisha yako ya kila siku.
Lakini ukitaka kujifunza sheria program zilizopo Tanzania kwa sasa ni ndefu na za gharama. Inabidi ujipange.
Hivyo basi, baada ya kuwa nimepitia Program za Mafunzo ya Sheria Tanzania, na kufanya practical za kuendesha kesi Mahakamani nimewatengenezea Program ya Ukweli YA MWEZI MMOJA TU ambayo itakufundisha mambo yote ya msingi ya kukuwezesha kutatua matatizo yako yote ya kisheria wewe mwenyewe.
Ukitaka Wakili basi iwe umeamua tu. Mfano ubize umekubana,
Program nii inatwa ONE-MONTH LAWYER.
MAFUNZO YATAANZA JUMATATU YA 23/9/2019
Mada (Silabasi) ni kama ifuatavyo:
1. SHERIA NI NINI?
=> Maana, historia, na tofauti kati ya jinai na madai.
2. VYANZO VYA SHERIA
=> Katiba, Sheria za Bunge, Sheria za Mapokeo, Sheria za Kimataifa, Mila na Utamaduni, Hukumu za Mahakama
3. SHERIA MUHIMU ZA JINAI UNAZOTAKIWA KUJUA
=> Kanuni ya adhabu, Mwenendo wa jinai, Sheria ya Ushahidi, na jinsi ya kuvibaini vifungu vya jinai kwenye sheria zote
4. SHERIA MUHIMU ZA MADAI UNAZOTAKIWA KUJUA
=> Madhara, Mkataba, Mwenendo wa madai, Ndoa, Ardhi, n.k.
5. MAHAKAMA
=> Sheria iko Mahakamani. Hapa utajifunza aina zote za Mahakama, ziko wapi na zinafanyeje kazi
6. JINSI YA KUSHINDA KESI MAHAKAMANI
=> Kutathmini kesi, kuandaa nyaraka, kuandaa ushahidi, milango ya kutokea (loopholes), na jinsi ya kuongea.
ADA NI
TSHS. 50,000/- Kwa darasa la mtandaoni (kupitia app ya Telegram)
TSHS. 100,000/- Kwa darasa la uso kwa uso
SI HAYO TU...
Ukishamaliza kozi hii utapatiwa Cheti cha Kuhitimu, na utaunganishwa na Group Exclusive la Mtandaoni la wahitimu wote na wakufunzi wao ambapo lengo kuu ni kuhakikisha hakuna kesi yoyote ambayo itakusumbua milele. Ukiwa na kesi utaileta hapo kwenye group na utapewa nyenzo zote za kuimaliza hiyo kesi kuanzia Vyanzo vya Kisheria vya Kutumia, Nyaraka za Kupeleka Mahakamani, na Hoja za Ushindi.
Kama umevutiwa ingia Waiting Room kupitia link hii ya Telegram
Waiting Room unaweza ukauliza maswali, na utapewa maelekezo zaidi.