KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 26,185
- 56,771
Nimeishi nimejionea watu wa namna hii maongezi yao asilimia kubwa ni kulaumu na kulalamika. Hii ni dalili mbovu na ni mbaya mno kwani huonyesha mtu husika kuwa ni mtu ambae ameshakata tamaa na kilichobaki ni kulaumu na kulalamika kwa mambo mengine ambayo hayana nyuma wala mbele!
Inawezakuwa ni tatizo la kisaikolojia na mtu anahitaji ushauri na nasaha,maana wengine mambo ya maisha huwafanya kuwa hivyo.
Lkn binafsi tabia hii mtu wa hivi hunikera mno! Sipendi mtu ambae asilimia kubwa ya maongezi yake ni kulalamika tu na anavyolalamikia vingine anaweza kuviepuka maana vipo chini ya uwezo wake na kwakuwa haivitekelezi basi anajikuta vinamzonga na kwakuwa alishakata tamaa basi amekuwa mtu wa kulalamika tu.
Nashauri watu wengine mjiepushe na aina hii ya watu! Maana hii ni kama tabia na unaweza kuirithi! Maana muda mwengine ubongo unamtindo wa kuenenda kwa kujifananisha Kama fulani (kuiga tabia).
Yangu ni hayo, kama utaona unahili tatizo anza kufikiri chimbuko la tatizo hilo na utatue inaweza kuwa ni swala lolote aidha elimu,uchumi au Imani za kipuuzi tu au familia n.k
Ukishindwa jitahidi kutafuta wanasaikolojia wakusaidie.
Am out.
Inawezakuwa ni tatizo la kisaikolojia na mtu anahitaji ushauri na nasaha,maana wengine mambo ya maisha huwafanya kuwa hivyo.
Lkn binafsi tabia hii mtu wa hivi hunikera mno! Sipendi mtu ambae asilimia kubwa ya maongezi yake ni kulalamika tu na anavyolalamikia vingine anaweza kuviepuka maana vipo chini ya uwezo wake na kwakuwa haivitekelezi basi anajikuta vinamzonga na kwakuwa alishakata tamaa basi amekuwa mtu wa kulalamika tu.
Nashauri watu wengine mjiepushe na aina hii ya watu! Maana hii ni kama tabia na unaweza kuirithi! Maana muda mwengine ubongo unamtindo wa kuenenda kwa kujifananisha Kama fulani (kuiga tabia).
Yangu ni hayo, kama utaona unahili tatizo anza kufikiri chimbuko la tatizo hilo na utatue inaweza kuwa ni swala lolote aidha elimu,uchumi au Imani za kipuuzi tu au familia n.k
Ukishindwa jitahidi kutafuta wanasaikolojia wakusaidie.
Am out.