Kuwa mtoto wa kigogo ni curse take it from me

Natalia

JF-Expert Member
Jul 3, 2011
4,324
1,892
I wazazi wangu especialy mmoja wa wazazi wangu baba na mama.hakuna raha Kama kuwa na maisha ya kawaida .kusoma shule Za serikali kujirusha na Kuwa na rafiki wa mitaani.mimi maisha ya kuwa mtoto wa kigogo ni mateso.yaani kwanza mzazi anajikuta anamarafiki wa juu kwa juu competition Za ajabu ajabu .oh mtoto wa huyu Ana masters Wewe lini?marafiki unaanza kuwa fake ,chili Za ajabu zinaanza na imagine una mzazi ambaye kutwa anatukanwa Kwenye magazeti na eti fisadi nawakati Mzazi huyo amesoma na alikuwa na kazi nzuri kabla ya kuitwa kurudi serikalini Tanzania .Usingizi unakuwa hulali maana Mimi Huku USA kila asubuhi unawaza Mzazi kaamka salama maana Mara gari limepinduka Mara duh .Hata usome Vipi ukipata kazi unaambiwa mzazi amekutafutia.ohh Wewe rudi bongo mzazi wako atakusaidia.Mimi na dada angu tumejitafutia kila kitu wenyewe unaambiwa.Sijichanganyi na wabongo kwa sababu drama.Be happy hata Kama unakaa mwananyamala tandale.nimateso kuwa NA Mzazi mwenye influence .Guilt of success ni mbaya mno kuliko mtu homeless.be happy of god have made you cause he knows who you are,usitake makubwa
 
This could be the best thread from Natalia

Usiombe uwe mtoto wa kigogo .Too much is expected mashindano ya ajabu .stress too much .mtoto wa nani anajenga ghorofa wewe,nimeshalununulia kiwanja yaani .plani zangu zilikuwa tofauti NA wazazi wangu.nimeolewa NA mzungu degree ninayo mwanaume wangu anauwezo Nina watoto 3 .Sina muda NA masters wala nini.dada angu kamaliza masters karudi nyumbani Amefika tu asubuhi anaambiwa akafanye PHD .dada angu Anamiaka 40 Hana mtoto.msilie wivu usiombe uwe wewe
 
Usiombe uwe mtoto wa kigogo .Too much is expected mashindano ya ajabu .stress too much .mtoto wa nani anajenga ghorofa wewe,nimeshalununulia kiwanja yaani .plani zangu zilikuwa tofauti NA wazazi wangu.nimeolewa NA mzungu degree ninayo mwanaume wangu anauwezo Nina watoto 3 .Sina muda NA masters wala nini.dada angu kamaliza masters karudi nyumbani Amefika tu asubuhi anaambiwa akafanye PHD .dada angu Anamiaka 40 Hana mtoto.msilie wivu usiombe uwe wewe
hapo kwenye red, nyie ndio wale @newyork, lemutuz anasema mnaishia kuolewa na mibabu ya kizungu? then, huyo dada yako kama anamiaka 40, bado ni mtoto wa kigogo? inaonekana mna akili tegemezi ndio maana mpo kizembezembe wazazi wanaona kama nyie ni failures. mpaka age ya 40 bado huna hujaweza kujisimamia? umeolewa bado unategemea wazazi kuendesha maisha including nini cha kufanya? mkiambiwa mnabebwa mnalalamika
 
The problem si kuwa mtoti wa Kigogo the problem mtoto wa umemaliza chuo after three years unakuwa bilionea. Maghorofa,Masheli na kila kitu. Lazima tuhoji
Mzazi Ana expect hivyo.unajua kuwa juu is about power.mzazi katibu mkuu balozi waziri akirudi nyumbani unaendelea.power and control .sina mpango wakuishi bongo ,maviwanja ya nini.mzazi wangu kakata tamaa na Mimi kisa sina PHD.nilivyooelewa nilibadilisha last name nilikoma
 
Tatizo letu linatokana na moja, tunataka kulea watoto kama tunavyoona inavyotokea kwenye tamthilia. Hatuna tena utamaduni wetu wa jinsi ya kulea mtoto.
Pili, tumezoea maisha ya mkato... ndio maana baba au mama au wote kwa pamoja wanaishi ili kuhakikisha mafasi walizonazo leo wanazitumia vizuri kujinufaisha wao na watoto wao.
Tunasahau kuwa jukumu la mzazi ni kumpatia mtoto elimu na kumwacha afanye yale anayojisikia kuyafanya.
 
Tubadirishane basi wewe uwe mtoto wa mlalahoi mie niwe wa kigogo nijilimbikizie mimali na pia niuze mihadarati(Ngada,i mean moving bricks and birds) bila kipingamizi
 
hapo kwenye red, nyie ndio wale @newyork, lemutuz anasema mnaishia kuolewa na mibabu ya kizungu? then, huyo dada yako kama anamiaka 40, bado ni mtoto wa kigogo? inaonekana mna akili tegemezi ndio maana mpo kizembezembe wazazi wanaona kama nyie ni failures. mpaka age ya 40 bado huna hujaweza kujisimamia? umeolewa bado unategemea wazazi kuendesha maisha including nini cha kufanya? mkiambiwa mnabebwa mnalalamika

Mwanaume wangu anamiaka 38 siwezi kuolewa na mzee .its a disgrace to sleep with old men .ukiwa na Shida na pesa an Huna values or morals utakuwa na mzee.huyu mzungu is my best friend nilisoma nae chuo Kimoja George Washington university.dada angu anatafuta mtoto saa hivi very sad for my sister
 
Usiombe uwe mtoto wa kigogo .Too much is expected mashindano ya ajabu .stress too much .mtoto wa nani anajenga ghorofa wewe,nimeshalununulia kiwanja yaani .plani zangu zilikuwa tofauti NA wazazi wangu.nimeolewa NA mzungu degree ninayo mwanaume wangu anauwezo Nina watoto 3 .Sina muda NA masters wala nini.dada angu kamaliza masters karudi nyumbani Amefika tu asubuhi anaambiwa akafanye PHD .dada angu Anamiaka 40 Hana mtoto.msilie wivu usiombe uwe wewe

You are talking from a social point of view, kuna wengine are ready to take the insults,blames and persecutions(if you are to call it) just for their survival and existence, there are different levels of human needs na utakuta kuna wengine can not afford even the most basic like food,clothing,medical care e.t.c, leaving alone the possibility to attend a school, kuna upande wa pili Natalia which is even worse! Let the world go round and live responsibly
 
Last edited by a moderator:
Mwanaume wangu anamiaka 38 siwezi kuolewa na mzee .its a disgrace to sleep with old men .ukiwa na Shida na pesa an Huna values or morals utakuwa na mzee.huyu mzungu is my best friend nilisoma nae chuo Kimoja George Washington university.dada angu anatafuta mtoto saa hivi very sad for my sister

kuongezeka kwa gap kati ya rich na poor ndo matokeo yake hayo.
 
Tatizo letu linatokana na moja, tunataka kulea watoto kama tunavyoona inavyotokea kwenye tamthilia. Hatuna tena utamaduni wetu wa jinsi ya kulea mtoto.
Pili, tumezoea maisha ya mkato... ndio maana baba au mama au wote kwa pamoja wanaishi ili kuhakikisha mafasi walizonazo leo wanazitumia vizuri kujinufaisha wao na watoto wao.
Tunasahau kuwa jukumu la mzazi ni kumpatia mtoto elimu na kumwacha afanye yale anayojisikia kuyafanya.
Mimi Nina masters lakini mzazi haridhiki.nina mume na watoto wa Tatu Bado mzazi anataka control.
 
Mwanaume wangu anamiaka 38 siwezi kuolewa na mzee .its a disgrace to sleep with old men .ukiwa na Shida na pesa an Huna values or morals utakuwa na mzee.huyu mzungu is my best friend nilisoma nae chuo Kimoja George Washington university.dada angu anatafuta mtoto saa hivi very sad for my sister
hapo kwenye red& bold. sasa mzazi ana mchango gani kukupatia/kumpatia mtoto? huyuo dada yako naye katika age ya ya 40 hajapata mtoto? mpaka age ya 40 anasoma masters inamaana hajakutana na watu? au ndio hayo ya kujiona superstaa familia mabo safi, wakati ile kitu haijalishi maskini au fukara
 
You are talking from a social point of view, kuna wengine are ready to take the insults,blames and persecutions(if you are to call it) just for their survival and existence, there are different levels of human needs na utakuta kuna wengine can not afford even the most basic like food,clothing,medical care e.t.c, leaving alone the possibility to attend a school, kuna upande wa pili Natalia which is even worse! Let the world go round and live responsibly
Nina wajomba zangu wanakaa mwananyala kisiwani.Nikishuka Nyerere airport point ya kwanza kisiwani.vitumbua mdundiko yaani raha tupu .samaki wa Kavu
 
Last edited by a moderator:
hapo kwenye red& bold. sasa mzazi ana mchango gani kukupatia/kumpatia mtoto? huyuo dada yako naye katika age ya ya 40 hajapata mtoto? mpaka age ya 40 anasoma masters inamaana hajakutana na watu? au ndio hayo ya kujiona superstaa familia mabo safi, wakati ile kitu haijalishi maskini au fukara
Mimi nilimove on kitambo .dada angu na kaka angu kutwa yes mom yes dad .wamezoea kuletewa hela .mimi siombagi hela kwa wazazi ndio maana wanapelekeshwa.
 
Back
Top Bottom