kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,011
- 11,942
Ni kweli kabisa mkuu, upinzani usipomuunga mkono Yesu wenu, huo si upinzani kabisa ,upinzani wa kweli kwenu ni kuisujudia ccmBongo hakuna upinzani aisee
Ni kweli kabisa mkuu, upinzani usipomuunga mkono Yesu wenu, huo si upinzani kabisa ,upinzani wa kweli kwenu ni kuisujudia ccmBongo hakuna upinzani aisee
Mtajitambua lini ili msimamie agenda zenu mpaka zikamilike.Ni kweli kabisa mkuu, upinzani usipomuunga mkono Yesu wenu, huo si upinzani kabisa ,upinzani wa kweli kwenu ni kuisujudia ccm
Yani we acha tuWanapoteza muda tuu hao Chadema, bora vijicenti vyao vya kuendesha kampeni wangeenda kununua vitumbua wa kanywee chai. CCM baba lao.
Kwa hiyo unashauri nini mkuu?Mtajitambua lini ili msimamie agenda zenu mpaka zikamilike.
Upinzani wa kweli upo Uarabuni, wale jamaa hawaogopi kitu wakiamua wameamua
Nnachoshauri ni kuwa msilie lie kwenye mitandao ya kijamii kama mnaingia mtaani ingieni kiufupi fanyeni vitendo na sio manenoKwa hiyo unashauri nini mkuu?