LadyAJ
JF-Expert Member
- Oct 21, 2015
- 7,173
- 9,631
Hakika nimepatwa na hali ya kukata tamaa isiyo kifani, TAREHE 24/10/2017 tulipata safari ya kikazi kwenda Zanzibar Ku campaign juu ya Bio gas,namna ya kuandaa na kuitumia
1. Baada ya kipindi kirefu cha mkauko wa safari,kwa kweli hii niliifurahia maana nilijua ukame unaanza kupungua
2. Ni Mara ya 2 kwenda Zenji,Mara ya kwanza ilikua ni nyakati za JK tulifikia hotel safi kabisa na starehe kibao + fuko la pesa bank limeshatunishwa
Kimbembe safari hii, fedha za kujikimu unaambiwa utapewa check tena ukirudi eti unakabidhiwa bahasha ya nauli na malazi unaambiwa umeshaandaliwa,haya tukajisemea ngoja twende cha ajabu tunapelekwa kwenda kulala kwenye ki gest kighorofa cha hovyo sana Masingini mkoa wa kaskazini Unguja!?
Kwa kweli kazi ile ya siku 10 ilikua ni zaidi ya ngumu maana hakukua na maana kwetu. Mpaka hii Leo sitamani hata kutia mguu kazini maana sijui nitamuangaliaje msimamizi wangu kwa chuki na ghadhabu nilizonazo.
Hebu serikali ibadilike sasa na kuthamini watumishi maana matokeo mazuri ya kiuchumi huanza na watumishi wa vitengo vyote kufanyakazi kwa moyo na si kwa manung'uniko,ilinibidi nitumie gharama zangu kwenda kulala mjini badala ya kulala kule Amani maana hakukufanana na Mimi
1. Baada ya kipindi kirefu cha mkauko wa safari,kwa kweli hii niliifurahia maana nilijua ukame unaanza kupungua
2. Ni Mara ya 2 kwenda Zenji,Mara ya kwanza ilikua ni nyakati za JK tulifikia hotel safi kabisa na starehe kibao + fuko la pesa bank limeshatunishwa
Kimbembe safari hii, fedha za kujikimu unaambiwa utapewa check tena ukirudi eti unakabidhiwa bahasha ya nauli na malazi unaambiwa umeshaandaliwa,haya tukajisemea ngoja twende cha ajabu tunapelekwa kwenda kulala kwenye ki gest kighorofa cha hovyo sana Masingini mkoa wa kaskazini Unguja!?
Kwa kweli kazi ile ya siku 10 ilikua ni zaidi ya ngumu maana hakukua na maana kwetu. Mpaka hii Leo sitamani hata kutia mguu kazini maana sijui nitamuangaliaje msimamizi wangu kwa chuki na ghadhabu nilizonazo.
Hebu serikali ibadilike sasa na kuthamini watumishi maana matokeo mazuri ya kiuchumi huanza na watumishi wa vitengo vyote kufanyakazi kwa moyo na si kwa manung'uniko,ilinibidi nitumie gharama zangu kwenda kulala mjini badala ya kulala kule Amani maana hakukufanana na Mimi