Kuwa mfanyakazi kwenye Serikali hii ni zaidi ya mateso

hiyo gesti na nyumbani kwako wapi kuzuri???

maana usije iponda gesti mbovu huku unakaa chanika nyumba ambayo haijaisha sakafu vumbi...

hela ya serikali ni ela ya walipa kodi wote hadi maskini vijijini... lazima itumike kwa nidhamu...

sio ya kugawa gawa posho kwa kundi la watu wachache kisa wanaitwa watumishi
Kua na adabu bwana unajua tunaifanyia nini Nchi hii au unakurupuka tu? ni wazi huna ajira ya serikali ndo mana huwezi kumuelewa mleta uzi
 
mimi sina mbele wala nyuma...lakini najua umuhimu wa hela za watanzania..

nyinyi mnataka mgawane hela kwa posho huku mijini na vijijini walipa kodi wanateseka hawana dawa na maji

Nyumbani ni nyumbani hata kama vichakani! Elewa kitu kimoja unapomtuma mtumishi kuna stahiki zake lazima umpe ,enyi watanzania msio na mbele wala nyuma acheni mawazo ya wanywa matapu tapu nyie
 
Huijui kesho yako pengine unaweza usiweze nyanyua hata hiyo shoka
Ni kweli uyanenayo Mkuu ila Babu yangu alikua Mwenyekiti wa kijiji na Diwani tangu zama za TANU mpaka 1985.. Mjomba ni Kastaafia kwenye ualimu wa primary, shemeji yangu(kaoa dadaangu) ni Mwalimu wa secondary, Girlfriend wangu wa kishuleshule ni daktari, Hawa wooooooooooote wanamaisha flani hivi ukitafakari ni kama serikali inawatumia na kuwadump hivi.

Mshahara mdogo

Mazingira ya kazi magumu

Hakuna chochote zaidi ya kutothaminiwa na serikali.

Ilifaa kazi za utumishi ziwe ndo kazi zinazolipa vizuri kuliko zote hapa Tanzania.
 
ha ha ha sehemu nilizowai kuacha kazi tu wewe ukipata ajira unafanya sherehe.. sijawai tamani ajira ya serikali labda ubunge tu...

ila narudia tena hela ya uma ni hela ya walipa kodi milioni 50.... na sio sahihi watumishi waigawane kwa maposho posho huku walipa kodi hawana huduma muhimu.

nashukuru awamu ya 5 inafanyia kazi hilo... nowdays hata maji ya dawasco tunayaona ona yanatoka..

awamu ya JK hadi hela za kuzalishia maji safi mlikuwa mnagawana posho za ovyo ovyo

Kua na adabu bwana unajua tunaifanyia nini Nchi hii au unakurupuka tu? ni wazi huna ajira ya serikali ndo mana huwezi kumuelewa mleta uzi
 
mimi sina mbele wala nyuma...lakini najua umuhimu wa hela za watanzania..

nyinyi mnataka mgawane hela kwa posho huku mijini na vijijini walipa kodi wanateseka hawana dawa na maji
Kwa hiyo kwa akili yako dawa na maji vitakuja baada ya kuminya maslahi ya watumishi? Je baba jeska ndie atayekuja kua Fundi bomba awaunganishie maji au ataja kua mfamasia awagaie dawa? Hivi unajua kwamba ipo kisheria kabisaa na viwango vya malipo vipo kihalali kwa mtumishi kufanyakazi nje ya eneo la kazi? Hebu ficha mpumbavu wako basi
 
ha ha ha sehemu nilizowai kuacha kazi tu wewe ukipata ajira unafanya sherehe.. sijawai tamani ajira ya serikali labda ubunge tu...

ila narudia tena hela ya uma ni hela ya walipa kodi milioni 50.... na sio sahihi watumishi waigawane kwa maposho posho huku walipa kodi hawana huduma muhimu.

nashukuru awamu ya 5 inafanyia kazi hilo... nowdays hata maji ya dawasco tunayaona ona yanatoka..

awamu ya JK hadi hela za kuzalishia maji safi mlikuwa mnagawana posho za ovyo ovyo
Majivuno yako yanasadifu hali ngumu uliyo nayo, JF haijawahi zalisha masikini wa maneno
 
Chuki hii ilipandwa ikamea, imekuwa sasa tunavuna..... Na huu ni mwanzo tu.... tunakoelekea mtakuwa mnapigwa mawe njiani ... ili muishi kama mashetani...
Kwa kweli inasikitisha! Imekua kama vile haki za watumishi ndizo zinakwamisha Tanzania ya Mil 50 kwa kila mtaa kila kijiji
 
unanichekesha tu

umeogopa naona.. tafuta kazi us embassy, pwc, kpmg, petrobrass, DFID, USAID... kama kweli una vyeti vilivyoonyooka na unaweza ku deliver.. upate hela halali sio ya kutegemea posho za walipa kodi maskini wa Tanzania...
 
Msimamizi wako usimwangalie kwa ghadhabu,ukifika ofisini mpelekee barua ya kuacha kazi,wakati wa kulakula umepita brother.
Humu ndani kila mtu ni Brother eti? Kuacha kazi sio suluhisho nadhani kama unaupeo thabiti huwezi shauri ushamba kama huo!
 
umeogopa naona.. tafuta kazi us embassy, pwc, kpmg, petrobrass, DFID, USAID... kama kweli una vyeti vilivyoonyooka na unaweza ku deliver.. upate hela halali sio ya kutegemea posho za walipa kodi maskini wa Tanzania...
OK brother mapesa ,una lingine?
 
Mbona kama wewe ni mtu wa kujivuna mkuu?

Mara ooh kule hakufanani nawewe!?
Kwa hadhi yako au sio?

Ulipaswa kusema mazingira yalikua mabaya ila usianze kusema mazingira hayaendani nawewe, hiyo ni lugha ya kujivuna kwamba wewe ni classic sana.

Yangu ni hayo tu, samahani kama nimekukwaza
Ndio ukweli hakuendani na Mimi! Katika maisha hata vidole vimetofautishwa sio kwa lengo la kujivuna hapana ,pale ni pa kulala watu mabahili wasiojithamini ndio maana niliacha chumba wazi nikajitafutia malazi yangu mjini mtaa wa Amani ni mtaa wa kiswazi sana maana hata sehemu nzuri za kupata chakula hakuna
 
Back
Top Bottom