Cheque Number
Member
- Nov 1, 2016
- 25
- 18
Wakuu salaam!
Kuna jambo ambalo linanitatiza and I real need to know it. Hivi kuwa balozi wa nchi ni lazima uwe kada wa chama kitakachokuwa madarakani? Kwamba kuna uhusiano wa moja kwa moja wa majukumu ya kibalozi na pengine utekelezaji wa ilani ya chama tawala?
Ninauliza hivi kwa kuwa, ingawa sijui/sina experience kwa nchi zingine ila imekuwa ni kawaida kwa huku kwetu kuwa makada wa chama tawala ndio huchaguliwa kuwa balozi ili kuwakilisha nchi katika mataifa mbalimbali.
Nawasilisha
Kuna jambo ambalo linanitatiza and I real need to know it. Hivi kuwa balozi wa nchi ni lazima uwe kada wa chama kitakachokuwa madarakani? Kwamba kuna uhusiano wa moja kwa moja wa majukumu ya kibalozi na pengine utekelezaji wa ilani ya chama tawala?
Ninauliza hivi kwa kuwa, ingawa sijui/sina experience kwa nchi zingine ila imekuwa ni kawaida kwa huku kwetu kuwa makada wa chama tawala ndio huchaguliwa kuwa balozi ili kuwakilisha nchi katika mataifa mbalimbali.
Nawasilisha