Power G
JF-Expert Member
- Apr 20, 2011
- 3,886
- 1,193
Katika mazungumzo mengi tumezoea kuwasikia akina "mama wa nyumbani", huwa tunasahau kuwa pia wapo "baba wa nyumbani". Hebu angalia adha hizi anazopata baba wa nyumbani halafu utoe mawazo yako kama ni sahihi katika jamii zetu za kiafrika au hapana:-