Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,133
- 56,576
Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza.Awali ya yote hakuna mzazi yeyote mwenye akili timamu anaependa mwanae aharibikiwe,hivyo atafanya lolote liwezekanalo katika kumsaidia mwanae akue na kuwa mtu mzima atakaeweza kumudu mahitaji yake.
Wewe kama mzazi unafanya nini ili kumuandaa mwanao asije kuja marioo au mdangaji?
Kulea siyo lelemama kwa kweli.
Kwa mfano mimi kwangu hakuna kuangalia tv siku za wiki.TV ni week end peke yake.
Homeworks tunafanya wote yaani mambo ya makumi na mamoja ukiwa mzazi kwenye karne hii ya 21 unarudishwa hadi kwenye Sentensi ni nini.
Haya hebu naomba mtiririke mnavyofanya kuwa mzazi katika karne hii ya 21.
Wewe kama mzazi unafanya nini ili kumuandaa mwanao asije kuja marioo au mdangaji?
Kulea siyo lelemama kwa kweli.
Kwa mfano mimi kwangu hakuna kuangalia tv siku za wiki.TV ni week end peke yake.
Homeworks tunafanya wote yaani mambo ya makumi na mamoja ukiwa mzazi kwenye karne hii ya 21 unarudishwa hadi kwenye Sentensi ni nini.
Haya hebu naomba mtiririke mnavyofanya kuwa mzazi katika karne hii ya 21.