wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,794
Na pete yake achukueKafungue shauri polisi utapewa mwongozo .hapo ni lazima mahari irudi
Na pete yake achukueKafungue shauri polisi utapewa mwongozo .hapo ni lazima mahari irudi
Nenda polisi kitengo cha jamaa kipo utapewa mwongozo.Jamani wanasheria naombeni ushauri Mimi nilikuwa na mwanamke ambaye alikuwa mchumba wangu , na tulisha chumbiana mpaka kumvalisha Pete na mipango ya harusi ikaanza Sasa Basi akiwe yeye yupo katika hatua ya kujiandaa na send off na Mimi pia nikiwa najiandaa kwa harusi ambayo ilitakiwa ifanyike mwezi wa 9 ,lakini ajabu mwanamke amekuja kunitamkia kuwa tusitishe mahusiano yetu na hayupo tayari kuolewa na Mimi inshort hanitaki Tena , Sasa nauliza je Sheria inasemaje yanapotokea Haya
Naombeni ushauri na maana taratibu za kutaka mahali yetu irudishwe inaendelea lakini wazazi wa binti sio waungwana kila siku wanatupiga maneno tu , naombeni ushauri
Kafungue madai kupitia sheria ya ndoa kupotezewa mudaJamani wanasheria naombeni ushauri Mimi nilikuwa na mwanamke ambaye alikuwa mchumba wangu , na tulisha chumbiana mpaka kumvalisha Pete na mipango ya harusi ikaanza Sasa Basi akiwe yeye yupo katika hatua ya kujiandaa na send off na Mimi pia nikiwa najiandaa kwa harusi ambayo ilitakiwa ifanyike mwezi wa 9 ,lakini ajabu mwanamke amekuja kunitamkia kuwa tusitishe mahusiano yetu na hayupo tayari kuolewa na Mimi inshort hanitaki Tena , Sasa nauliza je Sheria inasemaje yanapotokea Haya
Naombeni ushauri na maana taratibu za kutaka mahali yetu irudishwe inaendelea lakini wazazi wa binti sio waungwana kila siku wanatupiga maneno tu , naombeni ushauri
Polisi hausiki hpo nenda mahakani kafungue madai ya kupotezewa mudaJamani wanasheria naombeni ushauri Mimi nilikuwa na mwanamke ambaye alikuwa mchumba wangu , na tulisha chumbiana mpaka kumvalisha Pete na mipango ya harusi ikaanza Sasa Basi akiwe yeye yupo katika hatua ya kujiandaa na send off na Mimi pia nikiwa najiandaa kwa harusi ambayo ilitakiwa ifanyike mwezi wa 9 ,lakini ajabu mwanamke amekuja kunitamkia kuwa tusitishe mahusiano yetu na hayupo tayari kuolewa na Mimi inshort hanitaki Tena , Sasa nauliza je Sheria inasemaje yanapotokea Haya
Naombeni ushauri na maana taratibu za kutaka mahali yetu irudishwe inaendelea lakini wazazi wa binti sio waungwana kila siku wanatupiga maneno tu , naombeni ushauri
Mambk ya kale hayo my dear. Ndoa zinavunjika sana tuWhatever it will be.
Ila ndoa kuvunja si rahisi namna hiyo.
Na ikivunjwa impact zake ni nyingi mno,tofauti na kuvunja uchumba.
Ni kweli.Mambk ya kale hayo my dear. Ndoa zinavunjika sana tu
Pole sana, kuna kijana mmoja pia yalimtokea kama yaliyo kutokea wewe...Sema yeye alikuwa na akili za matope, alitoa mahali kupitia muamala wa simu.
Ushahidi upo? Umeshasema ni zawadiOooh ok sawa nashukuru ndugu na vipi nasikia Kuna kudai pia zawadi na pesa ambazo alikuwa akipewa mkiwa wachumba Kuna ukweli kwenye hili.
HeeOooh ok sawa nashukuru ndugu na vipi nasikia Kuna kudai pia zawadi na pesa ambazo alikuwa akipewa mkiwa wachumba Kuna ukweli kwenye hili.
Au kuna kitu jamaa amemkosea binti?
Ujue hapa tumesikia stori ya upande mmoja.
Mahari itarudishwaMhhhh cjui aise. inauma lakini!mahali imeenda arafu mshkaji kapigwa chini!!
Pole Mkuu kapata mhuni anayesimamia kucha. Atampelekea moto wa kutosha kisha atasepa hapo ndiyo atakaporudi kwako kuomba radhi ili mrudiane.
Sema bro, unaongea ukweli, ambao unauma kinouma, ila ndo ukweli.Unaona sasa
Huyo dada hana kosa
Aliingia kwenye penzi kama blow back effect ya penzi lake la kwanza
Hakumpenda huyu mpya kama inavyotakiwa
Hivyo kafika pahala kapata mtu anaemhitaji
The nigga has no choice zaidi ya kumuachia huyo dada anaenda kwa huyo mtu bila masharti yeyote
Na huyo kaka atafute kiazi mwenzie
Kuhusu hoja ya hela,ndio maana nikasema ni emotions zenu tu
Nyie mmeona sana msaada wa hizo hela wakati anamsadia huyo dada,jee huyo dada alikua hamsaidii huyo kaka vingine hela included?Jibu ni Yes
Nyie mpo na sympathy na huyo kaka,ndio maana nasema ni emotions zimewakumba
Kwenye mapenzi hakunaga makosa ya yeyote..ni kwamba people are faithful as long as their options
Dont take things personal,kaenda kwa mwingine maana you are not worthy it,chapa lapa nenda kwa anaekukubali,mengine ni laana za kingese tu
Na kama ulikuwa mkopo si lazima awe na vithibitisho kwamba ulikuwa mkopo?Hapana kitu kama zawadi huwezi kudai hizo pesa pia kama ulitoa kwa hiari na sio mkopo huwezi kudai.. Sana sana labda udai fidia ya usumbufu navkupotezewa muda
Point iko hapa,hii ni vita ya kiroho tafuta viongozi wa dini uwashirikisheNi ngumu kuanza kumhukumu mapema kabla ya kusikia upande wake.. Mahusiano yanayofikia kipengele cha ndoa hukumbwa na mengi ya kutisha.
Nakumbuka mimi ile wiki ya harusi nilinusurika ajali mara 5, 2 zikiwa natembea kwa miguu na 3 nikiwa nadrive..kama nisingekuwa kamili leo hii nisingekuwa hapa
Kaka yako anatema cheche tu humu