Kuvunjika kwa uchumba

Hahahahaaa

Wewe dada una vituko aisee

Anae mjua huyo kaka ni huyo dada,sio wewe!

Huyo dada yupo entitled and qualified to do the decisions on him kama alivyofanya sio wewe

Huyo dada kafanya maamuzi sahihi kwake sababu as a rational human being kafanya kitu anachoona yeye on her best interest!

Nyie kufikiria kuhusu vijihela and blah blah ni emotions zenu tu ambazo hazina msingi

Yaani nyie kwa utashi wenu mnaona ni sawa hela za msaada ziwe ni kigezo cha kushikilia loyaty na penzi la mtu kwa mtu hata kama hampendi?Kama ni hivyo hiyo ni coercion force,sio mutual love

Yaani unalazimishwa kumpenda mtu milele sababu ya value ya monetary units supplied regardless?
Mimi nilisikitika tu kwa muda waliopoteza.
Kuna mengi walifanya pamoja ukiachana na hiyo misaada ya hela.

Nilishindwa kujudge kwa sababu niliheshimu maamuzi ya dada...na kwa maamuzi yake yupo sahihi tu.

Ila nikijaribu kukaa upande wa kaka naona kama hajatendewa haki.
Kikubwa kila mtu alishaendelea na maisha yake na jamaa amemove on.
 
Ni ngumu kuanza kumhukumu mapema kabla ya kusikia upande wake.. Mahusiano yanayofikia kipengele cha ndoa hukumbwa na mengi ya kutisha
Nakumbuka mimi ile wiki ya harusi nilinusurika ajali mara 5, 2 zikiwa natembea kwa miguu na 3 nikiwa nadrive..kama nisingekuwa kamili leo hii nisingekuwa hapa
Bro andika kijitabu chako kinaweza kikasaidia watu wajao haswa ugusie kwenye ulimwengu wa kiroho, mapambano ya kutoboa kimaisha
 
Unaona sasa

Huyo dada hana kosa

Aliingia kwenye penzi kama blow back effect ya penzi lake la kwanza

Hakumpenda huyu mpya kama inavyotakiwa

Hivyo kafika pahala kapata mtu anaemhitaji

The nigga has no choice zaidi ya kumuachia huyo dada anaenda kwa huyo mtu bila masharti yeyote

Na huyo kaka atafute kiazi mwenzie

Kuhusu hoja ya hela,ndio maana nikasema ni emotions zenu tu

Nyie mmeona sana msaada wa hizo hela wakati anamsadia huyo dada,jee huyo dada alikua hamsaidii huyo kaka vingine hela included?Jibu ni Yes

Nyie mpo na sympathy na huyo kaka,ndio maana nasema ni emotions zimewakumba

Kwenye mapenzi hakunaga makosa ya yeyote..ni kwamba people are faithful as long as their options

Dont take things personal,kaenda kwa mwingine maana you are not worthy it,chapa lapa nenda kwa anaekukubali,mengine ni laana za kingese tu

Eti atafute kiazi mwenzie.

Kaka huna roho ya huruma japo kidogo.


Sisi tunachoongea ni kwanini asingemwambia mapema kama hakumpenda!?!

witnessj
 
Kuhusu mioyo ni full haki dada yangu

Hakuna moyo wa mtu unaonewa mapenzi

Umenyimwa mapenzi ni kwamba hupendwi,huna pa kwenda kushitaki popote duniani

Jishitaki wewe mwenyewe kwenye moyo wako binafsi

Kwanini sasa ampotezee muda?
Kwani hakuona tangu mwanzo kama hampendi,baada ya miaka mitatu kupita ndio amegundua kuwa hampendi!
 
Unazimia unazinduka na kusonga mbele kama Injili?
SA ni rahisi sana kusema, ila omba yasikukute.
Injili inasonga mbele bila kurudi nyuma

Naomba yasinikute,na pia naomba nisije mfanyia hivyo mtoto wa watu.

Last month niliota nimevunja uchumba siku ya ndoa,shughuli zinaendelea watu washajaa ukumbini mimi nikamwita pembeni nikamwambia noo siolewi.
Yaani eti niliota nimeandaliwa harusi ya surprise bila mimi kujua,nachukuliwa,napambwa,napelekwa ukumbini ,naambiwa eti ni harusi yangu,Bwana harusi namjua na hakuniambia kama ananioa,ila hiyo harusi hakuna hata ndugu yangu anayejua.

Ndoto nyingine hizi ni balaa tupu
 

Eti atafute kiazi mwenzie.

Kaka huna roho ya huruma japo kidogo.


Sisi tunachoongea ni kwanini asingemwambia mapema kama hakumpenda!?!

witnessj
😄😄 Angemwambia vipi na wakati dada alimchukulia mwenzake kama potential flani?
Ila kwa 3yrs sidhani kama ni kweli dada alikuwa anamtumia huyo kaka kama daraja la kujivukia alipo break up.

Itakuwa dada alijaribu kuchepuka then akanogewa huko nje. Akaona mbona kaka hana huba kama ninalolipata huku nje? Huyoo akayeya na 240kph
 
Angemwambia vipi na wakati dada alimchukulia mwenzake kama potential flani?
Ila kwa 3yrs sidhani kama ni kweli dada alikuwa anamtumia huyo kaka kama daraja la kujivukia alipo break up.

Itakuwa dada alijaribu kuchepuka then akanogewa huko nje. Akaona mbona kaka hana huba kama ninalolipata huku nje? Huyoo akayeya na 240kph
Kumbuka ilikuwa couple ya kanisani.
Inaenda kikristo,No sex,,na tuliamini hivyo.

Sijui hata Shetani gani aliwavurugayaani ukiwaangalia wote wapo innocent mno.


Eeh!?akayeyuka na 240KPH ,atakuwa alikiwasha na Subaru
 
Pole sana mkuu! Ila inaumiza sana hiyo , Yaani hapo hakuna namna ili uweze kuepuka kikombe hicho kibaya fanya uamuzi mgumu ndugu yangu!
Hapo fanya kama vile mtu alipoteza pesa barabarani na umetafuta bila mafanikio so unaamua kuacha itokee kama ilivyo! Jitahidi kuwa mtulivu katika maamuzi unayochukuwa, amini kuwa ni Mungu tu hakupenda mipango yako hiyo ikamilike.
Ruhusu moyo wako kumtoa moyoni na jilazimishe kumsahau ukiamini kuwa utampata mwingine zaidi yake!
Usiwe na pupa ya kuchukua maamuzi yoyote bali kuwa mpole, jitofautishe na yeye, nina uhakika huyo hafiki popote atarudi mwenyewe!
 
Kumbuka ilikuwa couple ya kanisani.
Inaenda kikristo,No sex,,na tuliamini hivyo.

Sijui hata Shetani gani aliwavurugayaani ukiwaangalia wote wapo innocent mno.


Eeh!?akayeyuka na 240KPH ,atakuwa alikiwasha na Subaru
Hahahaa church's couple... Ni wachache sana eti wanaoshii kihivyo 'no sex. Ya gizani huyajui..

Me chuo kuna dada mmoja alikuwa anauliza kwani wanafanyaga nini huko 'during sexual intercourse? Alikuwa msabato kindaki ndaki, aibu kama zote hata mbele ya wasichana wenzake habadilishi nguo. Kilichotokea unakijua? Hata chuo hakijaisha dada kaanza kulamba ndimu na maudongo

Binti kawasha suby bila reverse 😂
 
Injili inasonga mbele bila kurudi nyuma

Naomba yasinikute,na pia naomba nisije mfanyia hivyo mtoto wa watu.

Last month niliota nimevunja uchumba siku ya ndoa,shughuli zinaendelea watu washajaa ukumbini mimi nikamwita pembeni nikamwambia noo siolewi.
Yaani eti niliota nimeandaliwa harusi ya surprise bila mimi kujua,nachukuliwa,napambwa,napelekwa ukumbini ,naambiwa eti ni harusi yangu,Bwana harusi namjua na hakuniambia kama ananioa,ila hiyo harusi hakuna hata ndugu yangu anayejua.

Ndoto nyingine hizi ni balaa tupu

🤣🤣🤣 ulikemea ilo pepo? Au ulimalizia kufunga ndoa yako.
 
Hahahaa church's couple... Ni wachache sana eti wanaoshii kihivyo 'no sex. Ya gizani huyajui..

Me chuo kuna dada mmoja alikuwa anauliza kwani wanafanyaga nini huko 'during sexual intercourse? Alikuwa msabato kindaki ndaki, aibu kama zote hata mbele ya wasichana wenzake habadilishi nguo. Kilichotokea unakijua? Hata chuo hakijaisha dada kaanza kulamba ndimu na maudongo

Binti kawasha suby bila reverse

Ile couple Mimi niliiamini mno, sijui lakini hatujui ya sirini ila niliiamini.

Nilishtushwa Sana na mambo yalivyoisha.
 
Back
Top Bottom