Kuvunjika kwa kundi la vichekesho la Orijino Komedi

Duuu sijui kimewapata nini hawa wasanii? Joti tunamuona na lulu pale Itv kupitia TMT.

Pia nilibahatika kumsoma Masanja kwenye gazeti moja akiwa ana watoa watu Mapepo!

Na sikuhizi hawaonekani hata TBC!
 
Nadhani hawakujua kwamba hakuna kitu chochote kiendacho mikononi mwa serikali ya ccm huboreshwa ama kubaki kama kilivyo au kwa lugha nyingine srikali ya ccm haijawahi kuwa na record ya kutunza ubora wa jambo lolote isipokuwa ufisadi na ugaidi.

TBC yenyewe sasa ikowapi baada ya kumpoteza nguli Tido Mhando?

Hiyo ndiyo serikali ya ccm!
 
Nadhani hawakujua kwamba hakuna kitu chochote kiendacho mikononi mwa serikali ya ccm huboreshwa ama kubaki kama kilivyo au kwa lugha nyingine srikali ya ccm haijawahi kuwa na record ya kutunza ubora wa jambo lolote isipokuwa ufisadi na ugaidi.

TBC yenyewe sasa ikowapi baada ya kumpoteza nguli Tido Mhando?


Hiyo ndiyo serikali ya ccm!

We mtoto wa bavicha chunga mdomo wako.....Mpaka leo Tanzania ina Amani tele ni kwasababu
ccm inaitunza na kuiheshimu.
 
Wameharibu watoto wetu sana hawa jamaa. Wapotelee mbali kabisa vinyamkera hawa.
 
Nadhani hawakujua kwamba hakuna kitu chochote kiendacho mikononi mwa serikali ya ccm huboreshwa ama kubaki kama kilivyo au kwa lugha nyingine srikali ya ccm haijawahi kuwa na record ya kutunza ubora wa jambo lolote isipokuwa ufisadi na ugaidi.

TBC yenyewe sasa ikowapi baada ya kumpoteza nguli Tido Mhando?

Hiyo ndiyo serikali ya ccm!


Hawakujifunza kutoka kwa wale waliohama toka opposition na kuhamia huko wakavuma kidogo wakasahaulika, design ya akina Nsanzugwanko
 
Kama si sisi tuliowaunganisha hapo awali, na kwa mantiki hiyo hata sasa hatuna ruksa ya kudsikasi kuvunjika kwa kundi lao...
 
Pole sana. Naona bado uko kwenye anesthetic influences. Ni kawaida. Zitaisha na kupona utapona, na utakuwa salama usiwe na hofu.

We mtoto wa bavicha chunga mdomo wako.....Mpaka leo Tanzania ina Amani tele ni kwasababu
ccm inaitunza na kuiheshimu.
 
We mtoto wa bavicha chunga mdomo wako.....Mpaka leo Tanzania ina Amani tele ni kwasababu
ccm inaitunza na kuiheshimu.

Tanzania Ina Amani kwasababu watanzania hawajafikia melt down Kama Chernobyl nuclear disaster ila tunaelekea huko sooner or later.
 
Nadhani hawakujua kwamba hakuna kitu chochote kiendacho mikononi mwa serikali ya ccm huboreshwa ama kubaki kama kilivyo au kwa lugha nyingine srikali ya ccm haijawahi kuwa na record ya kutunza ubora wa jambo lolote isipokuwa ufisadi na ugaidi.

TBC yenyewe sasa ikowapi baada ya kumpoteza nguli Tido Mhando?

Hiyo ndiyo serikali ya ccm!

Kwa nini unahusisha kuvunjika kwao na ccm na sio mafanikio yao ya kiuchumi na umaarufu ? haswa kwa Joti, Mpoki na Masanja ?

Na ni kwa vipi mlitarajia waendelee kuwa pamoja daima milele ili hali hata kile walichokuwa wanafanya KISANAA na KIUCHESHI walishafika ukingoni ?

Ni kwa muda mrefu sana wamekuwa wakisafiria nyota ya MAJINA/UMAARUFU kuliko sanaa ya vichekesho waliyopatia umaarufu kwayo.

Na kwa kuwa wana akili za "kitanzania" mifuko yao imenenepa bila kufanya maboresho yoyote ya kipindi chao, miaka karibia kumi wanafanya kilekile walichofanya miaka iliyopita.

Wangekuwa na VISION za "mbele" saa hizi wangeshakuwa na kipindi standard, kama comedy za Mr Cooper, Martins, Family Matters n.k, lakini wapi....mswahili akipata ni tumboni na starehe, hata kazi inayomlisha haimuhusu tena.

Ila Mpoki ana uwezo mkubwa wa kufanya "stand up comedy" na akafika mbali kama mwenzake Kansiime.
 
Hivi haya majibu unayotoa umeyfanyia researh ama unapiga ramli kama katiba inayochongwa dodoma?

Hakuna maendeleo yasiyotengenezwa. Maendeleo ya sanaa yanahitaji nurturing. Ongezeko la maarifa linahitaji maarifa mapya. Wamekuwa wakifanya na TBC, sijui wewe ni TBC au namna gani. Hivi kweli unaweza kuthubutu kusema vichekesho havihitajiki tena?

Kama wewe mwenyewe huna ufahamu elekevu, utawezaje kufanikisha programs improvements and sustainability? Ninaona mypia ya aina ya kiwango cha juu sana kusema eti kundi limesambaratika kwa sababu mahitaji ya vichekesho yamefika mwisho. Yamefika mwisho kwa serikali kupitia tbc au kupitia audiences?

TBC ilikuwa na kile kikundi na ilifahamu umuhimu wa quality nzuri za programs zao. Kama wamefika mahali hawaendelei, wanashuka hadi wanakufa, nini maana ya kuwa na usimamizi? Tukisema serikali haina uwezo wa kuboresha ama kuendeleza kitu chochote kizuri tutakuwa tunakosea wapi? Hamkujua kuna siku watazeeka, watatajirika ama wataacha kwa sababu moja ama nyingine? Nionyeshe succession plan kama siyo kutetea mfumo kipofu wa uongozi wa serikali na vyombo vyake.

Kubali ukwlei, ujifunze vyema uwe huru!.






Kwa nini unahusisha kuvunjika kwao na ccm na sio mafanikio yao ya kiuchumi na umaarufu ? haswa kwa Joti, Mpoki na Masanja ?

Na ni kwa vipi mlitarajia waendelee kuwa pamoja daima milele ili hali hata kile walichokuwa wanafanya KISANAA na KIUCHESHI walishafika ukingoni ?

Ni kwa muda mrefu sana wamekuwa wakisafiria nyota ya MAJINA/UMAARUFU kuliko sanaa ya vichekesho waliyopatia umaarufu kwayo.

Na kwa kuwa wana akili za "kitanzania" mifuko yao imenenepa bila kufanya maboresho yoyote ya kipindi chao, miaka karibia kumi wanafanya kilekile walichofanya miaka iliyopita.

Wangekuwa na VISION za "mbele" saa hizi wangeshakuwa na kipindi standard, kama comedy za Mr Cooper, Martins, Family Matters n.k, lakini wapi....mswahili akipata ni tumboni na starehe, hata kazi inayomlisha haimuhusu tena.

Ila Mpoki ana uwezo mkubwa wa kufanya "stand up comedy" na akafika mbali kama mwenzake Kansiime.
 
Walinichosha walipo mtukana Mengi wakati ndo aliwatoa mwanzo kabisa na kumpondea matokeo yake sasa
 
Comedy zenyewe hazichekeshi wala nini. Tatizo vipaji zero na ubunifu hawana, bora waacha uzushi wakatafute real job sasa.
 
Back
Top Bottom