Ninavyokumbuka mimi ni kwamba, nilivyokuwa mdogo nilisikia habari kwamba soko la Kariakoo lilivyojengwa lilijengwa na "lifespan" ya miaka kadhaa (either that or some technical malfunctions were being spun to that effect), na linaweza kuanguka katika miaka ya 2000's, enzi hizo in the eighties tunaona the year 2000 ni mbali sana.
Katika kujadili swala hili, ningefurahi kuhakikishiwa kwamba kubomolewa kwa jengo hakuhusiani na "lifespan"/ security factor. Kama jengo lina hatari ya kubomoka then it is only sensible to demolish it. Kama tunaweza kubomoa na kutumia space effectively kwa kuweka kikwangua anga hapo, more power, as long as hawatufisadi wananchi.
mkuu mimi
sio engineer wa majengo but huwa
nakwenda kariakoo almost kila wiki........
Nalijua vizuri hilo jengo ni imara tena imara sana.......
Naaamini linaweza kuishi hata 200 years na zaidi.......
Na usisahau design na teknolojia ya soko la kariakoo ndo hiyo hiyo
ya airport ya mwalimu nyerere.........kwani architect ni huyohuyo.....
Bj amuli alikuwa ana design majengo ambayo ni built to last.......
Kama kariakoo imefikia muda wake,je jengo la crdb lumumba?na mengineyo mengi aliyo design????
Mimi mzazi wangu mmoja ni architect na alishafanya kazi na bj amuli.
From what i know kariakoo ilijengwa mwaka 74.....unaweza
we mwenyewe tazama maghorofa mengi ya town ambayo yalijengwa kwa teknolijia
duni zadi na yamesha last zaidi ya miaka mia moja.....sembuse miaka 30 ya kariakoo????????????
wazee, poleni kama mlikuwa na vibanda kule shimoni, au kama kulikuwa na biashara yoyote mmewaweka wadogo zenu wawafanyie. kwa upande wangu mimi nasapoti asilimia mia moja, wacha tu wavunje, wajenge jengo jipya zuri, habari ya kusema kuwa watu wapumbavu, hii si halali, unawatukana tu kumbe pengine wewe haujaelewa dhamira yao, na kwasababu hauelewei wewe mwenyewe ukawa ndo mpumbavu. kama jengo watakalojenga pale litakuwa bora kuliko jengo la lile soko, au kama litakuwa linaingiza pato au huduma kwa wananchi zaidi ya lile lililopo sasahivi, ni bora wafanye hivyo tu. ila kama wanataka kujenga hotel ya mtu binafsi, au jengo lolote ambalo wananchi hawatafaidika, hapo ndo ningepinga. pamoja na yote, sitawaita wapumbavu, kwasababu sijafanyia utafiti mradi huo.
Ni kweli kuwa kama watajenga jengo kubwa la kuweza ku-accommodate watu wengi zaidi, watapunguza tatizo la mahitaji ya sehemu za kufanyia biashara. Japokuwa sio lazima kubomoa soko la Kariakoo.masoko makubwa ya katikati ya majiji yapaswa kuwa ardhini na juu kunafanyika shughuli nyingine tofauti na barabara zinapita na majumba yanajengwa............. hii itasababisha wafanyabiashara wengi wa kutoonekana juu ya ardhi hasa wamachinga n.k. ....................nafikiri hao wachina wakifanikiwa kutujengea jengo moja la aina hiyo hapo kariakoo ndio mtajua kuwa dar hakuna watu! kwa maana litameza, machinga complex zote, wahindi wote, mchikichini yote, manzese yote..............nk.
amini usiamini kuna majiji hapa duniani unaweza kutembea umbali mrefu sana na ukiambiwa kuwa chini eneo lote hilo kuna maghorofa ya kwenda chini hadi gorofa sita ama zaidi na kuna maduka matupu makubwa kwa madogo, kuanzia ya jumla mpaka madogo, mama ntilie mpaka watembeza pweza, washona viatu mpaka kumbi za snema..............
yaani karibu theluthi moja ya wakazi wa jiji watakuwa wanafanya shughuli zao chini ya ardhi............ na wakimaliza shughuli zao wanakutana na sub-way/metro, inawachukua chini kwa chini hadi huko kimara, sijui gongo la mboto nk na kuacha daladala juu ya ardhi zikiwa nyeupe 24/7 .............. na hii ingepunguza sana msongamano juu ya ardhi............. kama ni mawazo kama hayo, mi naunga mkono ujenzi huo mia kwa mia..............
Ni kweli kuwa kama watajenga jengo kubwa la kuweza ku-accommodate watu wengi zaidi, watapunguza tatizo la mahitaji ya sehemu za kufanyia biashara. Japokuwa sio lazima kubomoa soko la Kariakoo.
Vile vile, kama watalijenga katikati ya Jiji, matatizo mengine makubwa zaidi yataongezeka. Nayo ni sehemu za kuegesha magari pamoja na msongamano wa watu na magari. Matatizo hayo mawili ni makubwa, na hakuna miundo mbinu iliyopo inayoweza kuhimili ongezeko hilo.
Vile vile sioni sababu ya kubomoa jengo la soko la Kariakoo na kujenga jingine, sehemu hiyo. Kama wanataka kujenga soko kubwa, ni vyema kutafuta majengo mengine (kama ya NHC) na kuyabomoa ili kuweza kulijenga.
Soko la Kariakoo linachohitaji kwa sasa ni kuwa modernized na sio kulibomoa kabisa. Wanaweza kulikarabati likawa soko la kisasa zaidi na kuongeza uwezo wake wa kuchukua biashara nyingi zaidi, kwa urahisi zaidi na bila kubadili sura yake.
Waliache soko liendelee kuwepo na walipe usasa unaoendana na hali ya kibiashara ya miji mikubwa.
Asante mkuu! umegusia hoja ya parking na miundo mbinu mingine. Kwa haraka kama tutahitaji parking then tunatakiwa kuvunja majengo mengine mengi sana, likiwamo kituo cha polisi msimbazi,
barabara za kuingilia hilo soko inabidi ziwe expanded na hii ni bara bara ya msimbazi, Lumumba na uhuru.
sewage systems inabidi ziwe safi kabisa na kuweza ku-accomodate population na activities zote za kisoko, sewage systems mpya ni wazi itabidi iunganishwe na za zamani, which is wrong, haiwezekani ukajenga sewage sytems kubwa ukaenda ku-conncect na zile za zamani ambazo nyingi ni ndogo.
so they will need kujenga separate sewage system kutoka kariakoo mpaka baharini which is not a joke.
So miundo mbinu is the great barrier of this project.
From your point of modernised I could say (just mawazo) wampe mwekezaji atakayeweza ku-pastimulate mahali pale pawe modern kama ilivyo mlimani city. The jengo la soko la public liwe mbali na city center.
Kujengwa kwa soko hili mbali na mji kuta simulate maendeleo ya hilo eneo husika na kuugawa mji katika activities mbali mbali hivyo kupunguza hata misongamano na mji kuwa attractive na msafi
Nimeshangazwa sana na habari hiii.
Nnimesoma kwenye gazeti la tafakari kuwa soko la Kariakoo limepata mchina anaetaka kulivunja na kujenga jengo lingine hapo hapo la ghorofa 15..........
Nafahamu hii nchi tumeishiwa viongozi wenye akili but this is too much..........
Hivi kuna jengo maarufu Tanzania zaidi ya soko la Kariakoo? Hivi sisi hatuna policy ya ku protect historical sites na historical buildings? Hakuna sheria ya kuzuia upuuzi kama huu? Hivi hawa watu wanamjua hata bj amuli?
Aliye design soko la Kariakoo na Nyerere Airport na jengo la Ushirika (CRDB Lumumba)? Hivi wanajua hata historia ya majengo hayo? Na hivi huo msongamano wa katikati ya jiji watau address vipi wakiongeza ukubwa wa soko? Mara kumi na tano?
Kama kuna mwana JF ambaye ana contacts zenye nguvu anaeweza ku put stop on this non sense naomba please afanye hivyo......
Hivi unaweza vunja 'Empire State Building' kwa sababu ya kujenga jengo lingine refu zaidi? Au unaweza vunja 'The Eifel Tower' kwa sababu unataka jenga mnara mwingine mkubwa zaidi?
Hivi sisi hatujui how history is priceless? Hivi hatuna kabisa viongozi wenye kutumia common sense hapa Tanzania?
Kujengwa kwa soko hili mbali na mji kuta simulate maendeleo ya hilo eneo husika na kuugawa mji katika activities mbali mbali hivyo kupunguza hata misongamano na mji kuwa attractive na msafi
Nimeshangazwa sana na habari hiii.
Nnimesoma kwenye gazeti la tafakari kuwa soko la Kariakoo limepata mchina anaetaka kulivunja na kujenga jengo lingine hapo hapo la ghorofa 15..........
Nafahamu hii nchi tumeishiwa viongozi wenye akili but this is too much..........
Hivi kuna jengo maarufu Tanzania zaidi ya soko la Kariakoo? Hivi sisi hatuna policy ya ku protect historical sites na historical buildings? Hakuna sheria ya kuzuia upuuzi kama huu? Hivi hawa watu wanamjua hata bj amuli?
Aliye design soko la Kariakoo na Nyerere Airport na jengo la Ushirika (CRDB Lumumba)? Hivi wanajua hata historia ya majengo hayo? Na hivi huo msongamano wa katikati ya jiji watau address vipi wakiongeza ukubwa wa soko? Mara kumi na tano?
Kama kuna mwana JF ambaye ana contacts zenye nguvu anaeweza ku put stop on this non sense naomba please afanye hivyo......
Hivi unaweza vunja 'Empire State Building' kwa sababu ya kujenga jengo lingine refu zaidi? Au unaweza vunja 'The Eifel Tower' kwa sababu unataka jenga mnara mwingine mkubwa zaidi?
Hivi sisi hatujui how history is priceless? Hivi hatuna kabisa viongozi wenye kutumia common sense hapa Tanzania?
Unachokisema ni sawa lakini UMESHAWAHI KUJIULIZA KWA NINI ASILIMIA KUBWA YA FOLENI ZA MAGARI ASUBUHI ZINAELEKEA POSTA NA KARIAKOO.......???? KWANI TATIZO NI FOLENI JUU YA ARDHI TUU.....??? HATA UKIHAMISHIA FOLENI HUKO CHINI YA ARDHI SHIDA ITAKUWA PALE PALE TU......... CHA MSINGI NI KUTAWANYA MASOKO MJI MZIMA. KAMA KILA MTU MAHALA ALIPO ANAPATA MAHITAJI YAKE YOTE, HATAKUWA NA SABABU YA KUINGIA KATI KATI YA MJI............. WAKAJENGE KINYEREZI-KIFURU.....KUPO WAZI...............masoko makubwa ya katikati ya majiji yapaswa kuwa ardhini na juu kunafanyika shughuli nyingine tofauti na barabara zinapita na majumba yanajengwa............. hii itasababisha wafanyabiashara wengi wa kutoonekana juu ya ardhi hasa wamachinga n.k. ....................nafikiri hao wachina wakifanikiwa kutujengea jengo moja la aina hiyo hapo kariakoo ndio mtajua kuwa dar hakuna watu! kwa maana litameza, machinga complex zote, wahindi wote, mchikichini yote, manzese yote..............nk.
amini usiamini kuna majiji hapa duniani unaweza kutembea umbali mrefu sana na ukiambiwa kuwa chini eneo lote hilo kuna maghorofa ya kwenda chini hadi gorofa sita ama zaidi na kuna maduka matupu makubwa kwa madogo, kuanzia ya jumla mpaka madogo, mama ntilie mpaka watembeza pweza, washona viatu mpaka kumbi za snema..............
yaani karibu theluthi moja ya wakazi wa jiji watakuwa wanafanya shughuli zao chini ya ardhi............ na wakimaliza shughuli zao wanakutana na sub-way/metro, inawachukua chini kwa chini hadi huko kimara, sijui gongo la mboto nk na kuacha daladala juu ya ardhi zikiwa nyeupe 24/7 .............. na hii ingepunguza sana msongamano juu ya ardhi............. kama ni mawazo kama hayo, mi naunga mkono ujenzi huo mia kwa mia..............