The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,108
- 115,842
Nimeshangazwa sana na habari hiii.
Nnimesoma kwenye gazeti la tafakari kuwa soko la Kariakoo limepata mchina anaetaka kulivunja na kujenga jengo lingine hapo hapo la ghorofa 15..........
Nafahamu hii nchi tumeishiwa viongozi wenye akili but this is too much..........
Hivi kuna jengo maarufu Tanzania zaidi ya soko la Kariakoo? Hivi sisi hatuna policy ya ku protect historical sites na historical buildings? Hakuna sheria ya kuzuia upuuzi kama huu? Hivi hawa watu wanamjua hata bj amuli?
Aliye design soko la Kariakoo na Nyerere Airport na jengo la Ushirika (CRDB Lumumba)? Hivi wanajua hata historia ya majengo hayo? Na hivi huo msongamano wa katikati ya jiji watau address vipi wakiongeza ukubwa wa soko? Mara kumi na tano?
Kama kuna mwana JF ambaye ana contacts zenye nguvu anaeweza ku put stop on this non sense naomba please afanye hivyo......
Hivi unaweza vunja 'Empire State Building' kwa sababu ya kujenga jengo lingine refu zaidi? Au unaweza vunja 'The Eifel Tower' kwa sababu unataka jenga mnara mwingine mkubwa zaidi?
Hivi sisi hatujui how history is priceless? Hivi hatuna kabisa viongozi wenye kutumia common sense hapa Tanzania?
Nnimesoma kwenye gazeti la tafakari kuwa soko la Kariakoo limepata mchina anaetaka kulivunja na kujenga jengo lingine hapo hapo la ghorofa 15..........
Nafahamu hii nchi tumeishiwa viongozi wenye akili but this is too much..........
Hivi kuna jengo maarufu Tanzania zaidi ya soko la Kariakoo? Hivi sisi hatuna policy ya ku protect historical sites na historical buildings? Hakuna sheria ya kuzuia upuuzi kama huu? Hivi hawa watu wanamjua hata bj amuli?
Aliye design soko la Kariakoo na Nyerere Airport na jengo la Ushirika (CRDB Lumumba)? Hivi wanajua hata historia ya majengo hayo? Na hivi huo msongamano wa katikati ya jiji watau address vipi wakiongeza ukubwa wa soko? Mara kumi na tano?
Kama kuna mwana JF ambaye ana contacts zenye nguvu anaeweza ku put stop on this non sense naomba please afanye hivyo......
Hivi unaweza vunja 'Empire State Building' kwa sababu ya kujenga jengo lingine refu zaidi? Au unaweza vunja 'The Eifel Tower' kwa sababu unataka jenga mnara mwingine mkubwa zaidi?
Hivi sisi hatujui how history is priceless? Hivi hatuna kabisa viongozi wenye kutumia common sense hapa Tanzania?