Kuvunja Muungano ni kujichimbia Kaburi- Asema Shamhuna

Tundu Lissu amenitoa tongotongo pale CHADEMA SQUARE, Muungano huu ni feki, sidanganyiki.
 
Ndoa ambayo baba wala mama hajulikani, siyo ndoa na mwisho wake ni kuvunjika tu......Tanganyaka yetu ilishamezwa, Zanzibar yao bado ipo, tena ina serikali.....nani mjinga.....jibu moyoni mwako....
lkn..utatenganisha vp mswahili wa bagamoyo na mswahili mwenzie wa unguja, au mswahili wa tanga na mswahili mwenzie wa pemba? waswahili hawa wako karibu sana ki kila kitu kushinda ukaribu wao na wahaya au wanyakyusa. nachokiona, wenye kushabikia kuvunjika muungano upande wa tanganyika , watataka kuwalazimisha (hao waswahili wa bagamoyo na tanga)kuingia ktk muungano mwingine ambao hapana shaka baada ya muda utaanza kufanyiwa hila kama unazofanyiwa muungano wa tanganyika na zanzibar... na huko zanzibar ndio" uchicheme wala uchimung'unye"..namna ushauri wa bure wa nyerere ambao ulikataliwa mwaka 1995 unavyowasaidia wazanzibar kwa sasa( kumbuka mwl alimshauri "komandoo" baada ya uchaguzi wa mwaka 1995, aunde serikali ya umoja wa kitaifa na "maalim", komandoo akaleta kibri, akakataa, lkn miaka kadhaa baadae utekelezaje wa ushauri ule ndio ulileta utulivu na amani ya kisiasa zanzibar), basi naam...na somo la..sisi "waunguja na wao wapemba", litawaumbua walioshadidia kuuvunja muungano ili wabaki ati na zanzibar yao...
 
Ndoa ambayo baba wala mama hajulikani, siyo ndoa na mwisho wake ni kuvunjika tu......Tanganyaka yetu ilishamezwa, Zanzibar yao bado ipo, tena ina serikali.....nani mjinga.....jibu moyoni mwako....
lkn..utamtenganisha vp mswahili wa bagamoyo na mswahili mwenzie wa unguja, au mswahili wa tanga na mswahili mwenzie wa pemba? waswahili hawa wako karibu sana ki kila kitu kushinda ukaribu wao na wahaya au wanyakyusa. nachokiona, wenye kushabikia kuvunjika muungano upande wa tanganyika , watataka kuwalazimisha (hao waswahili wa bagamoyo na tanga)kuingia ktk muungano mwingine ambao hapana shaka baada ya muda utaanza kufanyiwa hila kama unazofanyiwa muungano wa tanganyika na zanzibar... na huko zanzibar ndio" uchicheme wala uchimung'unye"..namna ushauri wa bure wa nyerere ambao ulikataliwa mwaka 1995 unavyowasaidia wazanzibar kwa sasa( kumbuka mwl alimshauri "komandoo" baada ya uchaguzi wa mwaka 1995, aunde serikali ya umoja wa kitaifa na "maalim", komandoo akaleta kibri, akakataa, lkn miaka kadhaa baadae utekelezaje wa ushauri ule ndio ulileta utulivu na amani ya kisiasa zanzibar), basi naam...na somo la..sisi "waunguja na wao wapemba", litawaumbua walioshadidia kuuvunja muungano ili wabaki ati na zanzibar yao...
 
zanzibar elimu ni nature,dini yetu inaelimu tosha ya kidunia kila kitu kimo,muungano hatuutaki nyerere ametulazimisha tu,na hao kina SHAMHUNA hawana tena nguvu mbele ya umma ama kweli people power.na safari hii inakwenda zanzibar katika kudai nchi yetu hoja yake haina meno, tokea miaka mingi nyuma kero zipo na haziondoki.ACHA TU UVUNJIKE.
zanzibar elimu ni nature...swadakta, wapi elimu si asili yao? umeshawahi jiuliza lini wamasai walianza utamaduni wa kujitahiri na kwa nini, na nyie wazanzibar mlianza lini na kwa nini? ongea siasa ya kuvunja muungano..lkn wachana na matusi ya rejareja na kibri...soma ewe mtumwa wa allah!
 
zanzibar elimu ni nature,dini yetu inaelimu tosha ya kidunia kila kitu kimo,muungano hatuutaki nyerere ametulazimisha tu,na hao kina SHAMHUNA hawana tena nguvu mbele ya umma ama kweli people power.na safari hii inakwenda zanzibar katika kudai nchi yetu hoja yake haina meno, tokea miaka mingi nyuma kero zipo na haziondoki.ACHA TU UVUNJIKE.
Sidhani kama dini yenu inawafanya mchome makanisa? Ktk kosa ambalo limeharibu image yenu ni hiyo tu! Adui yenu juu ya muungano ni CCM zanzibar siku mtakapoligundua hilo itakuwa mmeshachoma makanisa mengi saana!!!!!!!
 
Tundu Lissu amenitoa tongotongo pale CHADEMA SQUARE, Muungano huu ni feki, sidanganyiki.

Tumeungana na wasiotaka umoja, tunawafadhili wasiotaka kufadhiliwa, tunawaokoa wasiotaka kuokolewa, tunawatunza wasiotaka kutunzwa, tunawafundisha wasiofundishika, tunawasafisha wasiotaka kusafishika, tunawagharamia wasiotaka kugharamiwa, tunawabeba wasiobebeka. Kwa nini tung'ang'anie? Nashauri serikali ikubali ifanyike kura ya maoni Zanzibar, waulizwe kama wanataka mwungano au hapana. Wengi wakisema hapana, itakuwa ni faraja kubwa kwa Tanganyika maana kuvuja kwa pakacha ni nafuu ya mbebaji. Kuondoka kwa Zanzibar kwenye mwungano itakuwa ni nafuu kubwa kwa Tanganyika, tutapata muda wa kuongelea mambo ya maendeleo kuliko kupoteza muda na fedha nyingi kuzungumzia mwungano.
 
Shamhuna hayo ni mawazo yake na mawazo ya wenzake walioko serikalini. Lakini mioyoni mwa Wazanzibar asilimia kubwa na Watanganyika asilimia kubwa muungano haumo kabisaa. Hasa kwa Tanganyika ni hasara tupu na hakuna faida yoyote.

..KAMA FAIDA ZA MUUNGANO HUZIONI SIO BUSARA KUSEMA HAZIPO NA KWA HIYO MUUNGANO UVUNJWE..MUUNGANO UNAPASWA KUVUNJWA KWA MARIDHIANO YANAYOTOKANA NA FACTS, NA PIA INAPASWA UTETEWE KWA FACTS SIO KWA HISIA KAMA WALIZONAZO VIJANA WA KITANZANIA SASA HIVI...IN EARLY 1990s ILITOKEA HOJA YA KUUNDWA KWA SERIKALI YA TANGANYIKA NDANI YA SERIKALI YA MUUNGANO, AU KWA UFUPI TUWE NA SERIKALI YA SHIRIKISHO..HOJA HIYO ILIPINGWA NA KUSHINDWA KWA HOJA, HAIKUPINGWA TU KWA HISIA KAMA HIZI MLIZONAZO VIJANA SASA HIVI.
ULIZA FAIDA ZIKO WAPI KISHA JARIBU KUPIMA KWA UTASHI WAKO NA KWA KUZINGATIA MAHITAJI/ MASLAHI MAPANA YA JAMII KATIKA WAKATI TULIONAO NA HAPO BAADAE. KAMA KUNA TIJA AU HAKUNA, UNDA HOJA YA KUPINGA AU KUENDELEA KUWEPO KATIKA MUUNGANO NA SIO KUPAYUKA KAMA MLEVI TU KUWA TUUVUNJE MUUNGANO. NI UJINGA, SIO UONGO, KUSEMA FAIDA ZA MUUNGANO HAZIPO WAKATI KIUHALISIA ZIPO...
 
zanzibar elimu ni nature,dini yetu inaelimu tosha ya kidunia kila kitu kimo,muungano hatuutaki nyerere ametulazimisha tu,na hao kina SHAMHUNA hawana tena nguvu mbele ya umma ama kweli people power.na safari hii inakwenda zanzibar katika kudai nchi yetu hoja yake haina meno, tokea miaka mingi nyuma kero zipo na haziondoki.ACHA TU UVUNJIKE.

tokeni zenu mnanuka mdebwedo
 
wewe mgeni wa siasa sakimagharibi. Alshabab hawakuwahi kuivamia kenya kabl ya kenya kuivamia somalia ugomvi ulikua ni wao wenyewe wasomali.

Kenye ilivyojipendekeza ndio hayo leo wanayakuta walioyatafuta.

Lakini pia hujui kua obama alifikiria njia ya urahisi ya kuwasaidia wakenya bila ya kulaumiwa na wamarekani wenzake, ndio alipowashauri wakenya kuingia vitani ili wapate misaada.

Ukiangalia historia utagundua kua wamarekani waliingia katika vita vya somalia na walishindwa kwasababu wasomali huondoa tafauti zao zote wanapowaona wamarekani ndani ya ardhi yao.(husema wamarekani wanainajisi ardhi yao)

sasa wakatafuta watu wasio na akili wakawaingiza vitani ambao ndio kenya. Musisome habari za jamiiforam tu someni na habari za nje ya hapa mutajivunza sana dunua inavyoendeshwa.

...hoja uliyotoa ni ya kijinga, ni hoja za kwenye vijiwe vya kahawa hizi...mmarekani amemsaidiaje mkenya kwenye vita ya kenya dhidi ya alshabaab somalia??? Ni msaada upi waa kiuchumi kenya aliopewa na marekani kufuatia ushiriki wake katika vita dhidi ya alshabaab?? Au ni msaada upi wa kijeshi marekani amempa kenya baada ya kenya kujiingiza katika vita dhidi ya alshabaab???? Marekani ni taifa lililoendelea na lililo makini katika ufanyaji wake wa mambo, sio kuwa obama anaweza kufanya analotaka kama hapa tanzania..
 
Huyu jamaa anasema hautaki Muungano. Kaamua kubaelezea bajamaa kupitia mtandao kwa kutumia uhuru wake wa kikatiba!



Huyu jamaa sijui anaongea kama nani. Ila hoja haina supporting documents. Ni hoja Flawed, hebu aangalie kwanza statistics hizi.

State or Territory

Population estimate for 2011

1
California

37,691,912

2
Texas

25,674,681

3
New York

19,465,197

4
Florida

19,057,542
5
Illinois

12,869,257

6
Pennsylvania

12,742,886

7
Ohio

11,544,951

8
Michigan

9,876,187

9
Georgia

9,815,210

10
North Carolina

9,656,401

11
New Jersey

8,821,155

12
Virginia

8,096,604

13
Washington

6,830,038

14
Massachusetts

6,587,536

15
Indiana

6,516,922

16
Arizona

6,482,505

17
Tennessee

6,403,353

18
Missouri

6,010,688

19
Maryland

5,828,289

20
Wisconsin

5,711,767

21
Minnesota

5,344,861

22
Colorado

5,116,769

23
Alabama

4,802,740

24
South Carolina

4,679,230

25
Louisiana

4,574,836

26
Kentucky

4,369,356

27
Oregon

3,871,859

28
Oklahoma

3,791,508

29
Puerto Rico

3,706,690

30
Connecticut

3,580,709

31
Iowa

3,062,309

32
Mississippi

2,978,512

33
Arkansas

2,937,979

34
Kansas

2,871,238

35
Utah

2,817,222

36
Nevada

2,723,322

37
New Mexico

2,082,224

38
West Virginia

1,855,364

39
Nebraska

1,842,641

40
Idaho

1,584,985

41
Hawaii

1,374,810

42
Maine

1,328,188

43
New Hampshire

1,318,194

44
Rhode Island

1,051,302

45
Montana

998,199

46
Delaware

907,135

47
South Dakota

824,082

48
Alaska

722,718

49
North Dakota

683,932

50
Vermont

626,431

51
Washington, DC

617,996

52
Wyoming

568,158
 
Last edited by a moderator:
Nimekuwa nikifutilia sana vurugu za Zenji kupitia hapa Jf, nimegundua sababu kubwa ya hawa ndugu zetu kuukataa muungani ni za kidini na siyo kisiasa, viongozi wa dini wanawatumia wafuasi kuvunja muungano, hili ni zoezi la kwanza. Zoezi la pili litakuwa kuweka sheria za kiislam kwa wote wanaoishi Zenji bila kujali dini nyingine. Zoezi la mwisho litakuwa ni kuhakikisha sheria hizo zinafuatwa. Hapa ndipo wa-Zenji watakapoukumbuka muungano, kwani huu uhuru wote wa kujiachia mlionao sasa zikiwekwa sheria za kidini mtaupoteza, pia dada zangu kupata elimu kutakuwa mashakani kwani ile sheria inambana sana mtu-mke kimasomo. Lakini msikonde mtakuwa mnakuja kujirusha na kupata mambo mengine Tanganyika, nawaombeeni mfanikiwe.
 
dini ingekuwa na uwezo wa kuwasaidia, kusingekuwa na mashoga na wala unga/mateja kiasi kile....akili za mbayuwayu changanya na za kwako.
 
Wapewe nafasi ya kutoa maoni. Muungano utaeleweka. Kwanini waburuzwe!
Inawezekana partner hakutaki, amepata mwengine au anataka akae single, unalazimisha!!!!!!!!!!!!!
 
dini ingekuwa na uwezo wa kuwasaidia, kusingekuwa na mashoga na wala unga/mateja kiasi kile....akili za mbayuwayu changanya na za kwako.

soma uelewe kabla ya kuandika, sijasema dini itawasaidia, nimesema sheria za dini zitakazowekwa baada ya kufanikiwa kuvunja muungano zitawakwaza wengi na hatimae wataukumbuka muungano, kwani hivi wanavyoishi kwa uhuru wa kuvunja sheria za dini bila kukamatwa hakutoruhusiwa kukiwa na sharia law, kumbuka muumini halazimishwi kufuata sheria za dini.
 
Wapewe nafasi ya kutoa maoni. Muungano utaeleweka. Kwanini waburuzwe!
Inawezekana partner hakutaki, amepata mwengine au anataka akae single, unalazimisha!!!!!!!!!!!!!

mkuu bado hujawaelewa, muungano hawautaki kabisa, kwani unawazuia kuanzisha sharia law na kujiunga na vyama au taasisi fulani za kimataifa za dini yao.
 
mkuu bado hujawaelewa, muungano hawautaki kabisa, kwani unawazuia kuanzisha sharia law na kujiunga na vyama au taasisi fulani za kimataifa za dini yao.

sasa ndo wapewe nafasi waseme hivyo ili tuweke records. kwanini tunawawekea maneno yetu midomoni mwao?
wengi mnadai UAMSHO ndo hawataki muungano na ni kikundi kidogo tu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom