Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 29,298
- 83,733
Ndiyo nasema sasa huyo mwanamke asingepate mwingine huyo mwanaume angemuoa? Waoaji wenyewe wako wapi siku hizi?
Mwanaume akimfungulia mwanamke mashitaka ujue mwanamke amemkacha tayari hapo hamna tena kuoana mwanamke si ameamua kumuacha mwanaume na ku move on, hapo ndio huwa anaenda mahakamani