Dr hossea alisema kweli kwamba kikwete hataki kuwapeleka mafisadi wakubwa mahakamani !! Na ndio maana hata wakati wa uchaguzi mwaka huu aliwanadi watuhumiwa wote na kuwapongeza kuwa ni wachapakazi.
Dr hossea asingeweza kutoa malalamiko hayo kwa mtu yoyote hapa nchini kwasababu serikali yote iliyo madarakani ni ya wizi!!!!
Watuhumiwa hao walichota fedha na kuzitumia kumuweka kikwete madarakani .
Sasa ndio maana wana nguvu na wanaweza kumuua hosea!!!
Wanaotajwa kuruhusu wizi wa epa , kagoda ni rostam, lowassa, mkapa na kikwete , sasa hosea anaweza kufanya nini na hawa???
Mimi nampongeza hosea ila amutafute mungu !!!
Dr hossea asingeweza kutoa malalamiko hayo kwa mtu yoyote hapa nchini kwasababu serikali yote iliyo madarakani ni ya wizi!!!!
Watuhumiwa hao walichota fedha na kuzitumia kumuweka kikwete madarakani .
Sasa ndio maana wana nguvu na wanaweza kumuua hosea!!!
Wanaotajwa kuruhusu wizi wa epa , kagoda ni rostam, lowassa, mkapa na kikwete , sasa hosea anaweza kufanya nini na hawa???
Mimi nampongeza hosea ila amutafute mungu !!!