bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,347
- 6,736
Mimi naamini kuwa kuzama kwa meli za MV Skirgit ilikuwa adhabu ya Mungu kwa Wazanzibar walioshiriki au kushabikia kuchomwa kwa makanisa mwanzoni mwa mwaka huu...
Naona hawakushika adabu, wameshambulia tena kanisa jingine... Sasa wategemee adhabu kubwa zaidi...
Na MV Bukoba aliadhibiwa wa dini gani? Na hizo ajali za kila siku barabarani wanaadhibiwa waliochoma makanisa gani?
Wacha ujinga wewe.