Kuvamiwa kwa Mtu aliyetoa Pesa Benki, Wanajuaje hawa Majamnazi?

LINCOLINMTZA

JF-Expert Member
Mar 15, 2011
1,639
516
Wanabodi,
Nimesikitishwa sana ni kuvamia na kuuwa kwa Mhadhiri wa Chuo kiku cha Dar as Salaamu akiwa anatoka Benki ya NBC Ubungo kuchukua pesa.

MHADHIRI WA CHUO KIKUU DSM ALIYEUAWA KUZIKWA TABORA - Global Publishers


Swali la kujiuliza walijuaje kwamba ametoka benki kuchukua pesa na siyo kuweka?
Na kama alienda kuchukua inakuwaje wanajua kiasi mpaka wanavutiwa kufanya ujambazi na ukatilii huu.

Mimi binafsi ilinitokea juzi mkoani Dodoma, NBC Mazengo. Nilienda kuchukua Milioni tatu na nusu hivi, cha ajabu nilipotoka nje wale vibaka waliaanza kunifuata. Mwingine alinifuata kabisa na kuanza kunionyesha vitu vya thamaini eti ninuue. Niliona wakifanya mbinu nyingi zikiwa zimelenga kuchukua hela nilizokuwa nazo. Cha ajabu zaidi, hayo yote yalifanyika ndani ya mita 50 kutoka NBC Mazengo.
Nilishituika sana na kuamua kuchukua taxi mara moja na kutokomea.

Kwa kweli nina wasiwasi na
-wahudumu wa benki hasa wanaomonitor camera za benki kwani huenda wanaona wateja wote na kutoa taarifa nje.
-ndani ya benki yawezekana kuna magents wa majambazi ambao hujifanya wateja kwa kuangalia wateja wanafanya nini.
Hii issue ni serious kwa kweli hasa kwa NBC Bank kwani itafikia tutawakimbia sisi wateja wenu.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Wanabodi,
Nimesikitishwa sana ni kuvamia na kuuwa kwa Mhadhiri wa Chuo kiku cha Dar as Salaamu akiwa anatoka Benki ya NBC Ubungo kuchukua pesa.

MHADHIRI WA CHUO KIKUU DSM ALIYEUAWA KUZIKWA TABORA - Global Publishers


Swali la kujiuliza walijuaje kwamba ametoka benki kuchukua pesa na siyo kuweka?
Na kama alienda kuchukua inakuwaje wanajua kiasi mpaka wanavutiwa kufanya ujambazi na ukatilii huu.

Mimi binafsi ilinitokea juzi mkoani Dodoma, NBC Mazengo. Nilienda kuchukua Milioni tatu na nusu hivi, cha ajabu nilipotoka nje wale vibaka waliaanza kunifuata. Mwingine alinifuata kabisa na kuanza kunionyesha vitu vya thamaini eti ninuue. Niliona wakifanya mbinu nyingi zikiwa zimelenga kuchukua hela nilizokuwa nazo. Cha ajabu zaidi, hayo yote yalifanyika ndani ya mita 50 kutoka NBC Mazengo.
Nilishituika sana na kuamua kuchukua taxi mara moja na kutokomea.

Kwa kweli nina wasiwasi na
-wahudumu wa benki hasa wanaomonitor camera za benki kwani huenda wanaona wateja wote na kutoa taarifa nje.
-ndani ya benki yawezekana kuna magents wa majambazi ambao hujifanya wateja kwa kuangalia wateja wanafanya nini.
Hii issue ni serious kwa kweli hasa kwa NBC Bank kwani itafikia tutawakimbia sisi wateja wenu.

Serikali ingekuwa makini hoja yako ni ushahidi wa kuanzishia uchunguzi. Benki inalindwa na private security guards ambao hata historia zao hazifahamiki eti kisa amewasilisha cheti cha mgambo. Tena mtu huyo analipwa kiduchu tu, kwa nini asijiunge kwenye mtandaa wa wezi.
 
Serikali ingekuwa makini hoja yako ni ushahidi wa kuanzishia uchunguzi. Benki inalindwa na private security guards ambao hata historia zao hazifahamiki eti kisa amewasilisha cheti cha mgambo. Tena mtu huyo analipwa kiduchu tu, kwa nini asijiunge kwenye mtandaa wa wezi.
mh!
nadhani sikuhizi benki zote wanalinda POLISI.
 
Pamoja na yote uliyoyasema ususahau kwamba unapoingia benki hukuti benki ikiwa tupu. Utakuta watu wamejikalia
kwenye viti, wengine wmejisimamia nk. Hao wote unaowakuta hujui nia na madhumuni yao kuwa pale. Yawezekana kabisa baadhi yao ni vibaka/majambazi wanaangalia ni nani anachukua hela na kiasi gani.

Kwa hiyo baada ya kuchukua hela na kutoka nje uende zako kuna watu/mtu anakufuata.

Hii ilimtokea rafiki yangu mmoja kipindi cha kilimo. Aliacha vibarua shambani wakipalilia, akenda zake benki kuchukua
laki mbili kuwalipa vibarua. Akapanda basi kuelekea shambani. Aliposhuka kwenye kituo cha kuelekea shambani ghafla vijana wawili walioshikilia visu virefu vikali wakamkabili. "Tunahitaji hiyo laki mbili!" walimwambia. Kwa woga na mshangao mkubwa akawapa hela yote!
Yawezekana kabisa walikuwa wanamchunguza jinsi alivyotoa hela benki na kila kitu.

Kwa hiyo ndugu usitoe lawama kwa wafanyakazi wa benki, kuna vijana 'wamejiajiri' kwa njia niliyoeleza!
 
Wezi au majambazi hawamvamii mtu kwa kushtukiza. Hua washajipanga kwa kufuatilia nyendo za mtu kwa mda. Km huyo muhadhir tuliambiwa alikua anaenda kulipa mafundi sasa hapo unaweza kukuta kwa mda huu alikua ana safari za kwenda bank mara kwa mara sikuhizi. Na walishamchunguza. Istoshe siku za karibia sikukuu hawa watu nao huwa ndo siku zao za kusaka na wanajua wanochukua hela ni wengi kuliko wawekaji. Jeshi la polisi hutoa tahadhari kwa wananchi, na hata wafanyakazi wa bank kuwa waangalifu zaidi.
 
Jana nilikuwa naongea na dada mmoja kuhusiana na mauaji ya Patrick Rweyongeza na uporwaji wa pesa zake alizotoka kuchukua bank. Hili swali la hao majambazi walijuaje kama ana pesa nyingi vile tulilitafakari sana na mwisho tukahitimisha mawili kwamba ama baadhi ya wafanyakazi wa bank wanahusika na kuwatonya majambazi kwamba mteja fulani kavaa hivi muonekano wake ni huu kachukua kiasi kadhaa cha pesa hivyo mfuatilieni kuziiba pesa zake au majambazi hayo yanakuwa ndani ya bank na kujifanya yako busy na shughuli zao mbali mbali ndani ya bank lakini ukweli ni kwamba wanafuatilia ni mteja yupi anachukua bulungutu ili wamfuatilie.

Hivyo kama unachukua pesa nyingi bank inabidi uwe makini sana kuhakikisha hakuna mtu/watu wanaokufuatilia vinginevyo inaweza kabisa kula kwako. Hata ukitoka nje ya bank tu ukasimama pale kwa 10 15 minutes na kufanya kazi ya upelelezi kwa kutumia macho unaweza kabisa kugundua ni mtu/watu gani ambao unahitaji kuwatilia mashaka na hivyo kuchukua hatua muafaka za kulinda bulungutu lako na uhai wako.


Wanabodi,
Nimesikitishwa sana ni kuvamia na kuuwa kwa Mhadhiri wa Chuo kiku cha Dar as Salaamu akiwa anatoka Benki ya NBC Ubungo kuchukua pesa.

MHADHIRI WA CHUO KIKUU DSM ALIYEUAWA KUZIKWA TABORA - Global Publishers


Swali la kujiuliza walijuaje kwamba ametoka benki kuchukua pesa na siyo kuweka?
Na kama alienda kuchukua inakuwaje wanajua kiasi mpaka wanavutiwa kufanya ujambazi na ukatilii huu.

Mimi binafsi ilinitokea juzi mkoani Dodoma, NBC Mazengo. Nilienda kuchukua Milioni tatu na nusu hivi, cha ajabu nilipotoka nje wale vibaka waliaanza kunifuata. Mwingine alinifuata kabisa na kuanza kunionyesha vitu vya thamaini eti ninuue. Niliona wakifanya mbinu nyingi zikiwa zimelenga kuchukua hela nilizokuwa nazo. Cha ajabu zaidi, hayo yote yalifanyika ndani ya mita 50 kutoka NBC Mazengo.
Nilishituika sana na kuamua kuchukua taxi mara moja na kutokomea.

Kwa kweli nina wasiwasi na
-wahudumu wa benki hasa wanaomonitor camera za benki kwani huenda wanaona wateja wote na kutoa taarifa nje.
-ndani ya benki yawezekana kuna magents wa majambazi ambao hujifanya wateja kwa kuangalia wateja wanafanya nini.
Hii issue ni serious kwa kweli hasa kwa NBC Bank kwani itafikia tutawakimbia sisi wateja wenu.
 
Pamoja na yote uliyoyasema ususahau kwamba unapoingia benki hukuti benki ikiwa tupu. Utakuta watu wamejikalia
kwenye viti, wengine wmejisimamia nk. Hao wote unaowakuta hujui nia na madhumuni yao kuwa pale. Yawezekana kabisa baadhi yao ni vibaka/majambazi wanaangalia ni nani anachukua hela na kiasi gani.

Kwa hiyo baada ya kuchukua hela na kutoka nje uende zako kuna watu/mtu anakufuata.

Hii ilimtokea rafiki yangu mmoja kipindi cha kilimo. Aliacha vibarua shambani wakipalilia, akenda zake benki kuchukua
laki mbili kuwalipa vibarua. Akapanda basi kuelekea shambani. Aliposhuka kwenye kituo cha kuelekea shambani ghafla vijana wawili walioshikilia visu virefu vikali wakamkabili. "Tunahitaji hiyo laki mbili!" walimwambia. Kwa woga na mshangao mkubwa akawapa hela yote!
Yawezekana kabisa walikuwa wanamchunguza jinsi alivyotoa hela benki na kila kitu.

Kwa hiyo ndugu usitoe lawama kwa wafanyakazi wa benki, kuna vijana 'wamejiajiri' kwa njia niliyoeleza!

Wezi au majambazi hawamvamii mtu kwa kushtukiza. Hua washajipanga kwa kufuatilia nyendo za mtu kwa mda. Km huyo muhadhir tuliambiwa alikua anaenda kulipa mafundi sasa hapo unaweza kukuta kwa mda huu alikua ana safari za kwenda bank mara kwa mara sikuhizi. Na walishamchunguza. Istoshe siku za karibia sikukuu hawa watu nao huwa ndo siku zao za kusaka na wanajua wanochukua hela ni wengi kuliko wawekaji. Jeshi la polisi hutoa tahadhari kwa wananchi, na hata wafanyakazi wa bank kuwa waangalifu zaidi.

Nimepata kundi la tatu hapa: Watu unaohusiana nao katika hela kama malipo e.g. Wadaiaji
Munapokuwa na mpango wa kulipana kiasi fulani cha pesa siku fulani, movement zako zote za siku ya tukio watakuwa wanazijua watu hao.
Kama walipwaji wanaukaribu na majambazi au wao wenyewe ni majambazi, wanaweza kufanya kitu kama hiki.
Ni vizuri kwa sasa malipo yote kufanyika kwenye account. Hii ndio inafanyika nchi zilizoendelea. Huko watu wanatembea na kadi tu kila sehemu.
 
hoja yako ni nzuri, juzi juzi tulisikia kuna mtu kapigwa risasi tegeta magereji alipotaka kulipia gari lake mara baada ya kutoka benk hapo tegeta. uhalifu huu ni lazima udhibitiwe kwani yawezekana watoa taarifa kwa majambazi ni watu wa ndani ya benk, yaani sasa tusichukue fedha zetu benk? inasikitisha sana
 
Kama ww unavyamka asubuhi kuwahi kazini kuna watu wanaitwa wasoma ramani hawa huwa wanamfuatilia mtu mwanzo mwisho wengine wanaweza kuwa mule mule bank kama wafanyakazi na wengine ni watu tu wa kawaida wanafanya kuchunguza na kuwatonya wezi hao.siku moja nilwahi ingia bank nikachukua fedha nikawa nimempa jamaa yangu m3 akaenda kuchukulia mzigo ila kuna jamaa yangu mwingine akaniuliza juzi ulikuana mishe gani benk kuna mtu alikua ananiulizia kwamba una fedha sana maana uliingia ndani na Atm na usiku ukawa sehemu fulani unakunywa kuna mtu alikuja kuniuliza.hapa ndio unajua kwamba kuna watu wako makini na mambo ya watu kwa ajili ya uhalifu ni bora uishi kijasusi wakati mwingine.
 
Pamoja na yote uliyoyasema ususahau kwamba unapoingia benki hukuti benki ikiwa tupu. Utakuta watu wamejikalia
kwenye viti, wengine wmejisimamia nk. Hao wote unaowakuta hujui nia na madhumuni yao kuwa pale. Yawezekana kabisa baadhi yao ni vibaka/majambazi wanaangalia ni nani anachukua hela na kiasi gani.

Kwa hiyo baada ya kuchukua hela na kutoka nje uende zako kuna watu/mtu anakufuata.

Hii ilimtokea rafiki yangu mmoja kipindi cha kilimo. Aliacha vibarua shambani wakipalilia, akenda zake benki kuchukua
laki mbili kuwalipa vibarua. Akapanda basi kuelekea shambani. Aliposhuka kwenye kituo cha kuelekea shambani ghafla vijana wawili walioshikilia visu virefu vikali wakamkabili. "Tunahitaji hiyo laki mbili!" walimwambia. Kwa woga na mshangao mkubwa akawapa hela yote!
Yawezekana kabisa walikuwa wanamchunguza jinsi alivyotoa hela benki na kila kitu.

Kwa hiyo ndugu usitoe lawama kwa wafanyakazi wa benki, kuna vijana 'wamejiajiri' kwa njia niliyoeleza!
Mkuu hapo nilipopigia mstari walijuaje kama zilikua laki mbili. Unapochukua pesa si rahisi wa nyuma yako akajua kiasi cha pesa unachochukua. Pia kama unachukua au kuweka pesa nyingi huwa kuna dirisha/ chumba maalum unaingia na kufanya unachohitaji , hivyo basi aliyeko nje ni vigumu kujua kama ulikua unaweka au kuchukua. Bado tunaweza kuwatilia mashaka watu wa benki ktk hili.
 
Kama ww unavyamka asubuhi kuwahi kazini kuna watu wanaitwa wasoma ramani hawa huwa wanamfuatilia mtu mwanzo mwisho wengine wanaweza kuwa mule mule bank kama wafanyakazi na wengine ni watu tu wa kawaida wanafanya kuchunguza na kuwatonya wezi hao.siku moja nilwahi ingia bank nikachukua fedha nikawa nimempa jamaa yangu m3 akaenda kuchukulia mzigo ila kuna jamaa yangu mwingine akaniuliza juzi ulikuana mishe gani benk kuna mtu alikua ananiulizia kwamba una fedha sana maana uliingia ndani na Atm na usiku ukawa sehemu fulani unakunywa kuna mtu alikuja kuniuliza.hapa ndio unajua kwamba kuna watu wako makini na mambo ya watu kwa ajili ya uhalifu ni bora uishi kijasusi wakati mwingine.
He imefikia hapo tena basi tena ule msemo ambao huwa tunaimba wa kisiwa cha amani kumbe umebaki wimbo na si kweli. Yaani unafuatiliwa kiasi hicho lol.
 
Jana nilikuwa naongea na dada mmoja kuhusiana na mauaji ya Patrick Rweyongeza na uporwaji wa pesa zake alizotoka kuchukua bank. Hili swali la hao majambazi walijuaje kama ana pesa nyingi vile tulilitafakari sana na mwisho tukahitimisha mawili kwamba ama baadhi ya wafanyakazi wa bank wanahusika na kuwatonya majambazi kwamba mteja fulani kavaa hivi muonekano wake ni huu kachukua kiasi kadhaa cha pesa hivyo mfuatilieni kuziiba pesa zake au majambazi hayo yanakuwa ndani ya bank na kujifanya yako busy na shughuli zao mbali mbali ndani ya bank lakini ukweli ni kwamba wanafuatilia ni mteja yupi anachukua bulungutu ili wamfuatilie.

Hivyo kama unachukua pesa nyingi bank inabidi uwe makini sana kuhakikisha hakuna mtu/watu wanaokufuatilia vinginevyo inaweza kabisa kula kwako. Hata ukitoka nje ya bank tu ukasimama pale kwa 10 15 minutes na kufanya kazi ya upelelezi kwa kutumia macho unaweza kabisa kugundua ni mtu/watu gani ambao unahitaji kuwatilia mashaka na hivyo kuchukua hatua muafaka za kulinda bulungutu lako na uhai wako.
Haya unayosema yana ukweli lkn utawezaje sasa kujilinda kama wahusika ni bankers wenyewe manake ukiwa unachukua pesa nyingi kuna chumba maalum unaingia kudeposite au kudraw. Waweza kuangalia kwa macho lkn kumbe majambazi yamekaa mbali kidogo au wako wengi kwenye hiyo dili. Siku hizi uaminifu hakuna hata chembe hasa kwa baadhi ya wafanyakazi . Hata ukiamua kuita police au kuwatonya police bado nako si salama. Najiuiza mno USALAMA UKO WAPI yaelekea nyakati hizi hii kitu imeanza kua adimu.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kali hii.
Mwaka ule wa El Nino, wenye mvua nyingi walimaji wa mpunga walipata sana huko Shinyanga. Basi jamaa akaamua kuuza mpunga wake kwa watu wa mjini. Jamaa alipata kama karibia millioni hivi. Mauziano yalifanyika mchana. Kipindi kile hata suala la Benki kwa wasukuma lilikuwa kama ndoto hivi. Cha kushangaza, usiku uliofuatia, jamaa akavamiwa na majambazi. Katika purukushani, jamaa na mke wake wakiwa chumbani na majambazi sebuleni, mkewe akarusha kiasi fulani cha hela sbuleni. Wale jamaa wakazicheki zile hela kisha wakasema 'Si una millioni moja. Hizo zingine ziko wapi'. Purushani zikaendeleana na walimjeruhi vibaya sana huyo jamaa. Kesho yake jamaa akalipo polisi na watuhumiwa wa kwanza walikuwa hao wanunuzi.
Kwa kweli hakuna uaminiffu kabisa. Kuwa na kiasi kikubwa mkononi ni hatari kwa maisha yako
 
Unachosena Ablessed ni kweli kabisa kwamba usalama hakuna. Mimi huitumia sana hii kuhakikisha hakuna mtu anayenifuatilia hata kwa macho nashukuru Mungu mpaka sasa hivi sijakutana na mkasa wa kufuatiliwa na majambazi. Kwa kweli siwezi kuita poilisi maana hao mie siwaamini kabisa kutokana na matukio mbali mbali nchini ambapo polisi walishiriki. Ukishachukua bulungutu lako huna haja ya kutoka speed kabla ya kuhakikisha unafuatiliwa au la. Kuanzia ndani ya bank unaweza kuanza upelelezi wa macho wa kutafuta mbaya/wabaya wako na kuendelea nje ya bank kama vile unamsubiri mtu. Majambazi hayana simile yanaweza kukumaliza hata kwa 50 elfu tu.

Haya unayosema yana ukweli lkn utawezaje sasa kujilinda kama wahusika ni bankers wenyewe manake ukiwa unachukua pesa nyingi kuna chumba maalum unaingia kudeposite au kudraw. Waweza kuangalia kwa macho lkn kumbe majambazi yamekaa mbali kidogo au wako wengi kwenye hiyo dili. Siku hizi uaminifu hakuna hata chembe hasa kwa baadhi ya wafanyakazi . Hata ukiamua kuita police au kuwatonya police bado nako si salama. Najiuiza mno USALAMA UKO WAPI yaelekea nyakati hizi hii kitu imeanza kua adimu.
 
Last edited by a moderator:
Sisi ni nchi ya wababishaji sana. Tunapenda sana pesa lakini hatujui namna ya kuzitengeza, bali tunataka tutengenezwe na hizo pesa. Matajiri wengi wa kitanzania walipata utajiri wao kwa njia za mkatomkato tu, na hivyo kuacha kila mtu akitegemea kuwa njia za mkato ndiyo suluhisho.

Kuanza na matajiri wa mkata huko TRA, kumekuwa na matajiri wa mkato kwenye jeshi la polisi, matajiri wa mkato katika maofisi mengi ya serikali, na matajiri wa mkato kutokana na kuwa na undugu na kiongozi mkubwa serikalini. Kwa hiyo basi siyo ajabu kuwa katika mabenki yetu pia kuna makarani wanaotaka utajiri wa mkato na baadhi yao ndio wanaohusika na unyang'anyi huo.
 
Hii inatisha sana. Kesi kama hizo zimejitokeza kwa wateja wa NBC tawi la Tegeta na iligundulika kuwa security guard mmoja wa lile tawi alikuwa anawatonya majambazi kuwa ni mteja gani kachukua nini Bank. Ndugu yangu mmoja alishawahi kuporwa na majambazi walokuwa wanatumia pikipiki, lakini jambo la kumshukuru hawakumdhuru japo walipora huku wakimwonesha bastola, nadhani angekaidi leo tungekuwa tunazungumza mambo mengine. Kwa hiyo ni vema hizi benki zetu ziwazuie hao walinzi wao kuwapitiapitia wateja wakiwa ndani ya benki
 
Back
Top Bottom