MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,472
- 8,692
Wigi au nywele za bandia, kucha za bandia na kope za Bandia hivi sio tu kwamba ni urembo bali ni kumsahihisha Mungu alie kuumba.
Nitawaunga mkono hao wamini kama watavaa wigi la nywele za kiafrica au kucha za kiafrica.
Kitendo cha kuvaa sijui Brazilian Hair au Indiani hair ni kwamba Mungu alifanya makosa makubwa mno kukupa nywe za kiafrika au kukupa kucha za kiafrica au kope.
Sasa je walio okoka hasa wachungaji na Manabii wa kike huwa wana manisha nini wanapo Vaaa wigi la nywele za kizungu?
Na huwa wana mhubiri Mungu yupi? Huyo wanaye msahihisha kwa kuwapa nywele ngumu? Au yupi?
Wazungu huwa wanavaa wigi ila tofauti yao na Waafrica ni kwamba wao wanavaa wigi la nywele za za Wazungu wenzao. Hakuna Mzungu anaye vaa wigi la nywele za Kiafrica.
Nitawaunga mkono hao wamini kama watavaa wigi la nywele za kiafrica au kucha za kiafrica.
Kitendo cha kuvaa sijui Brazilian Hair au Indiani hair ni kwamba Mungu alifanya makosa makubwa mno kukupa nywe za kiafrika au kukupa kucha za kiafrica au kope.
Sasa je walio okoka hasa wachungaji na Manabii wa kike huwa wana manisha nini wanapo Vaaa wigi la nywele za kizungu?
Na huwa wana mhubiri Mungu yupi? Huyo wanaye msahihisha kwa kuwapa nywele ngumu? Au yupi?
Wazungu huwa wanavaa wigi ila tofauti yao na Waafrica ni kwamba wao wanavaa wigi la nywele za za Wazungu wenzao. Hakuna Mzungu anaye vaa wigi la nywele za Kiafrica.