Kuvaa saa enzi hizi za dijitali ni mbwembwe au usharobaro?

Mwanaume muungwana , mwenye kujali muda.. smart .. mara nyingi anakuwa na saa mkononi..

Mi napenda sana kuvaa saa.. na sio sharobaro
Nakubaliana nawewe mkuu saa ni moja wapo ya ishara kwa mwanaume kuwa yuko smart ,siwez toka bira kuvaa saa tabia hii nimeanza toka nikiwa mdgo had saiz
 
Ndugu yangu muanzisha mada.... Ni bora ungeuliza ili uone watu watashauri vipi kuliko kuanza na critical minds zako.... Umechemka sana na every body had proved that... You are not a genleman..

Next time anzisha uzi kwa kuuliza na sio ku critisize.....hii itakusaidia sana kuimprove...kuliko kuanzisha uzi.. Ukaishiwa kuumbuliwa ndio ujifunze.

Saa ina nafasi yake kubwa sana kutambulisha aina ya utu wako..acha mawazo potofu. Na ndio maana mpaka leo bei ya saa (za ukweli) ni kubwa kuliko bei ya simu yoyote unayoijua wewe na thamani ya saa haina hata dalili ya kushuka.

Binafsi sioni hatari hata nikinunua saa kwa milioni kumi.
Mwanaume utakosaje kuvaa saa mtoa mada ni mshamba asiyejua thaman ya saa alafu pia saa inavaliwa mkono wa kushoto sio wakulia,Mimi ni addicted na saa ya kampuni ya g shock
 
Saa ni moja kati ya vitu ukivaa vinapandisha status ya mtu,,
Na unachokisema ni sawa na kusema ukivaa shati au suruali yenye mifuko wallet ni ya kazi gani mfukoni?
Kwahyo mkuu unamaanisha!!
Ukiwa na Simu hata gazeti hununuwi?
Ukiwa na Simu hata radio husikilizi?
Ukiwa na Simu hata torch huwezi kumiliki kwako?
Ukiwa na Simu hata TV huangalii?
Ukiwa na Simu hata music system hununuwi?
Sababu vyote hivyo ukiwa na Simu unavipata kwenye simu..kwahyo huna haja ya kununuwa vitu hivyo?na kuwa navyo?
You are so wrong mkuu..
Bado upo na fikra ya zama za mawe..
 
Back
Top Bottom