EMMANUEL JASIRI
Senior Member
- Feb 2, 2015
- 127
- 62
1. Fanya biashara unayo ielewa vizuri zaidi, usiige tu kwa kuona mwingine anafanikiwa. Hakikisha wewe mwenyewe una ujuzi nayo.
2. Hakikisha umeyasoma mahitaji ya wateja wako watarajiwa. Hakikisha umeyaelewa kiundani zaidi mahitaji yao na unaweza kuwatimizia ipasavyo.
3. Amua kujenga mahusiano mazuri na wateja wako watarajiwa. Waelewe ili uweze kuwa sababu ya furaha yao.
BIASHARA YOYOTE IMARA HUJENGWA PALE TU. UNAPO KUWA NA MAHUSIANO MAZURI NA WATEJA WAKO.
2. Hakikisha umeyasoma mahitaji ya wateja wako watarajiwa. Hakikisha umeyaelewa kiundani zaidi mahitaji yao na unaweza kuwatimizia ipasavyo.
3. Amua kujenga mahusiano mazuri na wateja wako watarajiwa. Waelewe ili uweze kuwa sababu ya furaha yao.
BIASHARA YOYOTE IMARA HUJENGWA PALE TU. UNAPO KUWA NA MAHUSIANO MAZURI NA WATEJA WAKO.