TL. Marandu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 3,625
- 5,807
Hivi Karibuni Said Bakresa aliahidiwa Kupewa Ardhi Kiasi cha Ekari 10,000 ili azalishe Sukari, Pia Nikasikia Pia Kuwa Amepelekewa Umeme kwa Nguvu ya Substation Mpaka Mlangoni, Jee hii inatokana na Umiliki wake wa Azam TV! Maana hata Mzee wa Upako aliahidiwa Barabara, Kwanini Kuwepo na preferential treatment kwa Baadhi yatu?