Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Kongamano la wanataaluma linakutana kutwa nzima ya ijumaa. Je matarajio yako ni nini hasa? Litakuwa kama makongamano mengine yaliyosifiwa kwa kutoa kauli kali na maazimio yenye vipengele hadi vya herufi za kichina? Tutarajie nini tofauti na kwa nini au ndio yaleyale?
Vyovyote vile.. kongamano hili la wanataaluma wetu chini ya mwamvuli wa TPN ninaliunga mkono na kuwapa benefit of the doubt kwamba watawasha moto wa fikra mpya..
Vyovyote vile.. kongamano hili la wanataaluma wetu chini ya mwamvuli wa TPN ninaliunga mkono na kuwapa benefit of the doubt kwamba watawasha moto wa fikra mpya..