Expedito Mduda
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 539
- 261
Ndugu zangu wa JF, kuna mwenzetu mmoja ametoa wazo nzuri sana mi nimelipenda sana. Amependekeza kuwa tuunde baraza la wanachadema kwa ajili ya mapambano ya 2015. nafikiri utaratibu huu ukifanyika unawenza kutusaidia tusijisahau. Kumbukeni kuwa mwisho wa uchaguzi uliopita ulikuwa mwanzo wa maandalizi kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka 2015.
Nawaomba kama kuna mawazo zaidi basi tuwasiliane kwa 0753903809.
Ndugu zanguni nchi yetu hii inahitaji kukombolewa!
VIJANA TUSILALE TUIKOMBOE NCHI YETU KWA AJILI YA KIZAZI HIKI NA VIZAZI VIJAVYO!
Nawaomba kama kuna mawazo zaidi basi tuwasiliane kwa 0753903809.
Ndugu zanguni nchi yetu hii inahitaji kukombolewa!
VIJANA TUSILALE TUIKOMBOE NCHI YETU KWA AJILI YA KIZAZI HIKI NA VIZAZI VIJAVYO!