Kuumwa sana na kichwa

Kuumwa kichwa constantly ni dalili ya magonjwa mengi sana!Ni vyema mgonjwa huyu akapimwe magonjwa yafuatayo kwa kuchukuliwa damu na mucus za puani!
Kuumwa kichwa kila siku inaweza ikawa:
Chronic High Blood Pressure
Aleji
Types 2 diabetes
Heart defects
Low level of bilirubin ktk Bile
Stress
Nk
Nenda kwa dr bingwa muambie atakupa ushauri
Shukran mkuu,
Hapo kwenye aleji itabidi afuatilie kabla ya kwenda hospital,inawezekana pia ikawa aleji,kama mkuu hapo juu alivyothibitisha kichwa kupona baada ya kuacha kula dagaa.
 
Huo ugonjwa mm nilishawahi kuumwa miaka mingi sana, wazazi wangu, ndugu zangu walihangaika miaka tele lakini hawakufanikiwa ikawa mpka kila ninachotaka kufanya eg kazi haswa kwenye jua walikuwa wananikataza sana, mm nilikuwa nameza dawa za kutuliza maumivu kila siku mwaka mzima, hizi Hospital unazozijuwa wewe nchii nimekwenda lakini cjapata ufumbuz wowte ule, yaaan unakwenda Hospital mpka doctor anakujua, had anafikia hatua ya kukushauri nenda Hospital nyingine labda watakusaidia, lakin ukienda kule wapi na kwa bahat nzuri nilikuwa natumia Bima.
Unajua nilijua kupona vipi had leo kubaki historia, kuandika nimechoka ila njooo humu nikupe ushauri bure kabisa na utaona matokeo yake soon715378899
Utapeli hautakufikisha popote pale
 
Wakuu natumai wazima,

Nina ndugu yangu wa kike 17 years, tatizo kubwa alionalo ni kuumwa na kichwa,
Kichwa chake kama kinakua kinakufa ganzi upande mmoja,kinamuuma sana.
Dawa aliozoea kutumia ili kutuliza maumivu ni hedex na imepungua utendaji kazi nahisi kwa kutumia kila siku.

Naombeni ushauri wenu tatizo linaweza kuwa nini na atumie dawa gani ili apate nafuu na kupona kabisa.

Shukran.
Ndugu yako akitaka apone Maradhi yake ya kichwa aache kutumia dawa za kutuliza maumivu ya kichwa fuata ushauri wangu atapona hayo maradhi yake ya kichwa awe anakunywa chai ya Tangawzi, awe anakunywa maji ya kunywa, Maji ya Uvuguvugu kwa wingi na dawa ya mwisho awe anakula punje 12 za Lozi aka (Almond) inapatikana kwenye maduka ya Super Market hiyo Lozi (Almond) angalia hapo chini picha yake.

DAWA YA MARADHI YA KICHWA.jpg
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom