Habari wanaJf wote.
Mimi ni mgeni humu. Ninaomba msaada wa ushauri wa kitabibu hata kimawazo tuu kwa tatizo hili linalomkabili ndugu yangu wa karibu jinsia ME
Yapata wiki ya 2 sasa alianza kusikia maumivu ya kiuno hakuhisi ni shida kubwa hivyo akaendelea na mishe mishe zake. Wiki hii hali ikawa mbaya zaidi hawez kutembea wala kusimama. Hosp Xrays and vipimo vya damu vipo clear yaan hana shida. Ila ndo haez kujiinua na hali yake inazid kuwa mbaya.
Amefanya MRI ila majibu bado mpaka jumatano ( as they say).
Hali imekua tete zaidi maana hawez tena kunyanyua mguu wake au kusogeze tuu.
Je hii hali inasababishwa na nini ? Na atumie nini kupunguza maumivu au apone kabisa?.
Tunaomba msaada members
Asanten
Mimi ni mgeni humu. Ninaomba msaada wa ushauri wa kitabibu hata kimawazo tuu kwa tatizo hili linalomkabili ndugu yangu wa karibu jinsia ME
Yapata wiki ya 2 sasa alianza kusikia maumivu ya kiuno hakuhisi ni shida kubwa hivyo akaendelea na mishe mishe zake. Wiki hii hali ikawa mbaya zaidi hawez kutembea wala kusimama. Hosp Xrays and vipimo vya damu vipo clear yaan hana shida. Ila ndo haez kujiinua na hali yake inazid kuwa mbaya.
Amefanya MRI ila majibu bado mpaka jumatano ( as they say).
Hali imekua tete zaidi maana hawez tena kunyanyua mguu wake au kusogeze tuu.
Je hii hali inasababishwa na nini ? Na atumie nini kupunguza maumivu au apone kabisa?.
Tunaomba msaada members
Asanten