Kuumbwa BINADAMU/nani kamuumba?

TASK FORCE

JF-Expert Member
Apr 7, 2017
2,467
3,456
Ivi wakuu Kuna kitu kinanichanganya akili,

Nikiangalia system ya injini ya gari ilivyotengenezwa kwa mapangilio, na gari yenyewe pia kwa ujumla, yaani Kuna mfumo wa kupooza injini, Kuna mfumo wa kupooza oil, Kuna mfumo wa kutoa hewa chafu kwenye ekzosti, na mengi mengine,
Jibu ni binadamu ndio aliyeunda gari na vyombo vyote vya moto na mitambo mengine, etc,

Sasa ukija kwa binadamu nae Kama gari ivyoivyo, ebu aliyefikiria kuweka njia ya haja ndogo iwe mbele na sio nyuma nani, akatenganisha shahawa na mkojo, angalia mwanamke akibeba mimba tu ,basi automatically machuchu yake yanavimba na kuanza kutengeneza maziwa, ajabu zaidi katoto kakizaliwa tu sijui nani anakafundisha kapeleke mdomo kwenye nyonyo kutafuta maziwa, cha ajabu kingine ukikata titi la mama anayenyonyesha, hutoyaona maziwa yakitiririka, bali itatiririka damu aswaa,

Gari na vyombo vingine vimeundwa na binadamu bila shaka, Tena kisayansi,
Sasa najiuliza inadamu nae kaumbwa na nani, au wanasayansi ndio wamemuunda binadamu,

muandiko mbaya wa kizee mtanisamehe
 
Mungu ndie Kamuumba Binadamu kwa Mikono yake kama vile ulivyosema Binadamu kaunda Gari kwa Mikono yake na akili zake.Lkini Mungu yeye ndiye aliyeanzisha Materials zote za Kumuuba Binadamu na Mzingira yake(Earth)
Huyu Kiumbe mwenye uwezo wa kufikiri kiasi hiki cha kuunda Mgari katika Karne hii ya 20/21 tuu sikabla ya hapo ni Uvuvio maalumu kwa watu Maalumu aliowachagua M/Mungu na kuwapa hii taluma na uvumbuzi.

Bahati mbaya sana Mwafrika ,hayumo kwenye mradi huuu wa uvumbuzi popote pale duniani.
Ni watu weupe tuu ndio Mungu kawapa Vipaji hivi.
Sababu za kwa nini wao tuu sijui.
 
Ivi wakuu Kuna kitu kinanichanganya akili,

Nikiangalia syteam ya injini ya gari ilivyotengenezwa kwa mapangilio, na gari yenyewe pia kwa ujumla, yaan Kuna mfumo wa kupooza injini, Kuna mfumo wa kupooza oil, Kuna mfumo wa kutoa hewa chafu kwenye ekzosti, na mengi mengine,
Jibu ni binadamu ndio aliyeunda gari na vyombo vyote vya moto na mitambo mengine, etc,

Sasa ukija kwa binadamu nae Kama gari ivyoivyo, ebu aliyefikiria kuweka njia ya haja ndogo iwe mbele na sio nyuma nani, akatenganisha shahawa na mkojo, angalia mwanamke akibeba mimba tu ,basi automatically machuchu yake yanavimba nakuanza kutengeneza maziwa, ajabu zaidi katoto kakizaliwa tu sijui nani anakafundisha kapeleke mdomo kwenye nyonyo kutafuta maziwa, cha ajabu kingine ukikata titi la mama anaenyonyesha, hutoyaona maziwa yakitiririka, bali itatiririka damu aswaa,

Gari na vyombo vingine vimeundwa na binadamu bilashaka, Tena kisayansi,
Sasa najiuliza binadamu nae kaumbwa na nani, au wanasayansi ndio wamemuunda binadamu,

,AYA MASWALI YAMENIJIA LEO BAADA YA KUBANWA HAJA NIKAENDA TOILET, WAKATI NIPO TOILET NIKAWA NAWAZA MTAALAMU GANI ALIYEFIKILIA KUMUWEKEA BINADAMU SEHEMU YA KUTOLEA UCHAFU, TENA KWA MPANGILIO WA KISOMI ASWAA....

muandiko mbaya wa kizee mtanisamehe
Supreme Power
 
Kukosa majibu ya baadhi ya maswali isiwe kigezo cha kusema umeumbwa!

Vipi ukiambiwa fulani ndio kakuumba si lazima utahoji pia aliyemuumba huyo fulani mwenye akili kubwa ya kukumba wewe?
Ikiwa umeumbwa, vivyo hivyo aliyekuumba lazima nae awe ameumbwa....

Mlolongo unaendelea


Eternity---- ndiyo chanzo cha kila kitu. Mungu ndiye eternity au CAUSA CAUSAN, hapo hakuna mlolongo.
 
Yani Mwafrika pamoja na akili zetu zote ,bado hatujaweza kujuwa ni vipi Wazungu walivumbua mavitu kama Simu, Internet, Kurusha madege makubwa na Mifumo ya mawasiliano .
Ukweli unabaki kuwa Si lazima Ujuwe kila Kitu ya aliye Kitengeneza ,
Binadamu hana Uwezo wa kujuwa Mwanzo au Mwisho wa Mungu na bali hata Kumjadilini kumvunjia Heshima.
Kwanza Tujadili kazi za Mungu ,kisha kazi za Viumbe wa Mungu ,ukizimaliza izi saa ndio uelekee kwa Mungu,kitu ambacho hutakifikia Ng'o
 
Hata Mimi nashangaa Jua kuning'inia juu kwa juu bila kuanguka , mtasema mambo ya gravity, na hiyo nguvu nani kaiweka ? Please!! What's the first cause? Also who caused the first cause ??
 
Hata Mimi nashangaa Jua kuning'inia juu kwa juu bila kuanguka , mtasema mambo ya gravity, na hiyo nguvu nani kaiweka ? Please!! What's the first cause? Also who caused the first cause ??
umeongea la maana mkuu, ngojea wajuvi waje watupe maana,kina Kiranga
 
Kwa kanuni gani uliyotumia hapa?
Kanuni ya wewe kustaajabu uwepo wako ilihali hujastaajabu uwepo wa huyo unaefikiri alikuumba.

Ni sawa na uone baiskeli ushangae useme lazima kuna aliyeiunda hii baiskeli alafu uone ndege ikipaa angani uone ni jambo la kawaida.

Maana yangu ni hii, aliyekuumba ni wa utata kuliko wewe na haiwezekani atokee tu from nowhere, hivyo ukiona umejishangaa sana kuwepo kwako ukafikia kuwaza lazima kuna aliyekuumba, ni kwanini sasa usijiulize katokeaje huyo aliyekuumba maana anayo maarifa kuliko wewe na niwaajabu kuliko wewe?
Unaokota komputer ya kizamani porini unasema hii computer Kuna aliyeiunda! Haiwezekani iwepo tu pasipo na muundaji wake alafu papo hapo mbele kidogo unaokota supercomputer hushangai na kujiuliza kama kuna aliyeiunda 😊😊

Huko ni kutokutumia akili yako vizuri katika kuwaza.

Kama yupo Mungu muumbaji wa yanayotushangaza, vivyo hivyo lazima kuwe na chanzo chenye maarifa zaidi kuliko yeye kilichomtokeza yeye! Ukitaka kuhoji imekuwaje wewe wa utata upo kama ilivyo leo, waza pia alikotoka huyo wa utata kuliko wewe.

Narudia tena, kukosa majibu ya baadhi ya maswali isiwe kigezo cha kutoa majibu yasiyo na hakika.

Kwanza thibitisha kama Mungu yupo... Voice of Kiranga 😊😊
 
Kanuni ya wewe kustaajabu uwepo wako ilihali hujastaajabu uwepo wa huyo unaefikiri alikuumba.

Ni sawa na uone baiskeli ushangae useme lazima kuna aliyeiunda hii baiskeli alafu uone ndege ikipaa angani uone ni jambo la kawaida.

Maana yangu ni hii, aliyekuumba ni wa utata kuliko wewe na haiwezekani atokee tu from nowhere, hivyo ukiona umejishangaa sana kuwepo kwako ukafikia kuwaza lazima kuna aliyekuumba, ni kwanini sasa usijiulize katokeaje huyo aliyekuumba maana anayo maarifa kuliko wewe na niwaajabu kuliko wewe?
Unaokota komputer ya kizamani porini unasema hii computer Kuna aliyeiunda! Haiwezekani iwepo tu pasipo na muundaji wake alafu papo hapo mbele kidogo unaokota supercomputer hushangai na kujiuliza kama kuna aliyeiunda 😊😊

Huko ni kutokutumia akili yako vizuri katika kuwaza.

Kama yupo Mungu muumbaji wa yanayotushangaza, vivyo hivyo lazima kuwe na chanzo chenye maarifa zaidi kuliko yeye kilichomtokeza yeye! Ukitaka kuhoji imekuwaje wewe wa utata upo kama ilivyo leo, waza pia alikotoka huyo wa utata kuliko wewe.

Narudia tena, kukosa majibu ya baadhi ya maswali isiwe kigezo cha kutoa majibu yasiyo na hakika.

Kwanza thibitisha kama Mungu yupo... Voice of Kiranga 😊😊
Eternity---- ndiyo chanzo cha kila kitu. Mungu ndiye eternity au CAUSA CAUSAN, hapo hakuna mlolongo.
Bwana Mokaze mimi ni mvivu kuandika
 
Hata Mimi nashangaa Jua kuning'inia juu kwa juu bila kuanguka , mtasema mambo ya gravity, na hiyo nguvu nani kaiweka ? Please!! What's the first cause? Also who caused the first cause ??
Umejifunua wazi kwamba ukijua aliyeiweka hiyo nguvu lazima utataka kujua aliye chanzo cha huyo aliyeiweka hiyo nguvu pia.

Kama kila kilichopo ni lazima kiwe na chanzo, vivyo hivyo aliyeweka hiyo nguvu ni lazima tujue alikotoka pia
 
Yani mnamzungumzia binadamu pekee kama vile viumbe hai wengine wao wameumbwa baada ya binadamu kuwepo.
 
Hata Mimi nashangaa Jua kuning'inia juu kwa juu bila kuanguka , mtasema mambo ya gravity, na hiyo nguvu nani kaiweka ? Please!! What's the first cause? Also who caused the first cause ??
Asante TASK FORCE kunialika hapa.

Joseph lebai

Hoja ya "first cause" inatokana na ushamba wetu wa kufikiri kwamba mambo yote yapo sawa na mambo ya dunia tunayoiona.

Mara nyingi watu wanaoamini uwepo wa Mungu hutumia hoja ya "ulimwengu usioonekana" kujenga hoja ya kuwepo kwa Mungu, kwa hadithi tu ambazo hazithibitishiki.

Na hutumia hoja ya "first cause" kulazimisha lazima kuwe na first cause, na hiyo first cause ni lazima iwe Mungu.

Mpaka hapo, hata ukiwakubalia kwamba lazima kuwe na first cause, hoja yao ina makosa ambayo kilatini yanaitwa "non sequitur".

Kosa la kimantiki la "non sequitur" nikuunganisha mambo mawili ambayo hayana muunganiko, kimakosa.

Ni sawa na kusema hivi.

1. Rais wa Tanzania ni Mtanzania mwanamke.
2. Maria Sarungi ni Mtanzania mwanamke
3. Maria Sarungi ni Rais wa Tanzania

Hapo 1 na 2 hoja ziko sawa, ila hitimisho la 3 limeunganisha mambo ambayo hayana muunganona kutoa jibu la "logica non sequitur".

It doesnot follow that if 1 and 2 are truethen 3 must be true.

Sasa tukirudi kwenye first cause, hoja ni hii.

1. The universe must have had a first cause
2.The first cause by definition started everything
3.The first cause is God.

Hapo hata kamaikiwa 1 na 2 ni sawa, hilo halimaanishi 3 ni sawa.

What if the first cause is something inherently non personal like logical consistency, mathematical entropy, the second law of thermodynamics etc?

Are you going to say the second law of thermodynamics is God? Are you going to say Mathematical entropy is God?

So, that is if at all you accept thevery notion of a first cause.

But what if the notion of a first cause is an illussion caused by our little and confined experience at our scale of the universe?

If you dig deep into Einstein's Relativity and Quantum Physics, you will see that the passage of time is relative. If you go even deeper in Quantum Physics, you will see that, at a certain level, causality is not fundamental.

Causes happen after effects, effects happen before causes. Time itself stands still from the perspective of a ray of light moving at the speed of light in a vacuum. From this ray of light's perspective, time and distance does not exist.The ray is able to be at all points on its path at the same time.

So time is an illusion that is caused by our speed.

It is impossible for anything with mass, however minute, to reach the speed of light in a vacuum. Because the more you approach the speed of light, the more your mass approaches infinity, and the more you need infinity energy just to move an infinitesimally insignificant distance in space.

But if we were able to attain the speed of light in some way, time would cease to exist. And causality is defined by time, therefore, causality would cease to exist.

This shows, at the quantum level, causality is not so important at all.

What is ruling that world is probabilistic quantum dynamics.

Not causality.

What does that mean?

This entire focus on "the fist cause is wrong.

It is like looking for the first angle in a circle, or the smell of the national anthem, or a deaf man trying to know the color of a Michael Jackson song.

Because, to that deaf man, color is what he can work with, sound is something he does not understand.
 
Kanuni ya wewe kustaajabu uwepo wako ilihali hujastaajabu uwepo wa huyo unaefikiri alikuumba.

Ni sawa na uone baiskeli ushangae useme lazima kuna aliyeiunda hii baiskeli alafu uone ndege ikipaa angani uone ni jambo la kawaida.

Maana yangu ni hii, aliyekuumba ni wa utata kuliko wewe na haiwezekani atokee tu from nowhere, hivyo ukiona umejishangaa sana kuwepo kwako ukafikia kuwaza lazima kuna aliyekuumba, ni kwanini sasa usijiulize katokeaje huyo aliyekuumba maana anayo maarifa kuliko wewe na niwaajabu kuliko wewe?
Unaokota komputer ya kizamani porini unasema hii computer Kuna aliyeiunda! Haiwezekani iwepo tu pasipo na muundaji wake alafu papo hapo mbele kidogo unaokota supercomputer hushangai na kujiuliza kama kuna aliyeiunda 😊😊

Huko ni kutokutumia akili yako vizuri katika kuwaza.

Kama yupo Mungu muumbaji wa yanayotushangaza, vivyo hivyo lazima kuwe na chanzo chenye maarifa zaidi kuliko yeye kilichomtokeza yeye! Ukitaka kuhoji imekuwaje wewe wa utata upo kama ilivyo leo, waza pia alikotoka huyo wa utata kuliko wewe.

Narudia tena, kukosa majibu ya baadhi ya maswali isiwe kigezo cha kutoa majibu yasiyo na hakika.

Kwanza thibitisha kama Mungu yupo... Voice of Kiranga 😊😊
Swali dogo tu la kuthibitisha kwamba Mungu yupo linapokuwa halijibiwi kimantiki, na linapigwa danadana za longolongo nyingi sana, linaonesha huyo Mungu hayupo, katungwa na watu tu.

Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote angekuwepo asingekuwa mkatili hivyo ajifiche sana, watu wauane katika vita za kidini wakibishana kumtafuta.

Mungu huyo angekuwepo ingekuwa kila mtu anazaliwa akimjua kwa urahisi tu, bila kuhubiriwa, bila kuhitaji kitabu, bila ya watu tofauti kumjua kiutofauti.

Mungu huyo kuwa na utata mwingi kujulikana kwa watu wa dunia nzima, ni ukatili wa hali ya juu, kitu ambacho kina contradict upendo wote anaosemwa kuwa nao Mungu huyo.

Mpaka hapo tu utaona huyu Mungu anayesemwa na watu katungwa tu na watu.

Ndiyo maana utasikia wanampa tabia za watu. Mara Mungu kakaa kwenye kiti cha enzi, sasa Mungu anakaa kwenye kiti anaogopa kuanguka?

Mara Mungu kakasirika, hivi huyu Mungu hana control ya hasira zake? Mungu anayejua kila kitu kitakachotokea anaanzaje kukasirika?

Mara Mungu kaona watu hawamfuati kawaua kwa gharika, ina maana alivyoumba hakujua hawatamfuata?

Mara Mungu ataunguza mabilioni ya watu kwenye moto wa milele.Hivi huyu Mungu anawanyima watu neema ya kumjua, wengine hata kusoma vitabu vyake hawawezi, halafu watu hao awachome motoni milele? Huyu ndiye Mungu mwenye upendo wote kweli jamani?

Ukichunguza sana utaona hizi ni hadithi za kutungwa na watu tu, huyo Mungu anayesemwa hayupo.
 
Swali dogo tu la kuthibitisha kwamba Mungu yupo linapokuwa halijibiwi kimantiki, na linapigwa danadana za longolongo nyingi sana, linaonesha huyo Mungu hayupo, katungwa na watu tu.

Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote angekuwepo asingekuwa mkatili hivyo ajifiche sana, watu wauane katika vita za kidini wakibishana kumtafuta.

Mungu huyo angekuwepo ingekuwa kila mtu anazaliwa akimjua kwa urahisi tu, bila kuhubiriwa, bila kuhitaji kitabu, bila ya watu tofauti kumjua kiutofauti.

Mungu huyo kuwa na utata mwingi kujulikana kwa watu wa dunia nzima, ni ukatili wa hali ya juu, kitu ambacho kina contradict upendo wote anaosemwa kuwa nao Mungu huyo.

Mpaka hapo tu utaona huyu Mungu anayesemwa na watu katunga tu na watu.

Ndiyo maana utasikia wanampa tabia za watu. Mara Mungu kakaa kwenye kiti cha enzi, sasa Mungu anakaa kwenye kiti anaogopa kuanguka?

Mara Mungu kakasirika, hivi huyu Mungu hana control ya hasira zake? Mungu anayejua kila kitu kitkachotokea anaanzaje kukasirika?

Ukichunguza sana utaona hizi ni hadithi za kutungwa na watu tu, huyo Mungu anayesemwa hayupo.
Wewe brother ndio ulisababisha nijiunge jamiiforums kutokana na hoja zako nzitonzito
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom