Kitty Galore
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 345
- 100
Wadau naombeni mniwie radhi, sijui ndio maana nauliza.
Hivi, kwenye vyombo vya usafiri si lazima kuwe na vyombo vya tahadhari?, hili najua kila mtu anajua. Kwenye magari kuna mikanda, kwenye ndege kuna mikanda,life jackets na hata zingine zina parachutes.
Mimi sijawahi kupanda meli, hivyo ningeomba kuuliza wale waliopanda. Hivi wakati mmekaa kwenye viti vinakuwa na mikanda navyo? na itakuwaje kama serikali ikaamua kupitisha sheria ya vyombo vya majini kwamba kila abiria avae life jacket kabla chombo hakijang'oa nanga na abiria ambaye atakiuka masharti basi atashtakiwa?
Mimi nadhani siku nitapanda chombo cha majini, sitajali inakuwaje nitakachofanya ni kuvaa life jacket ndio nikae kwenye kiti, sitajali kama nitaonekana mshamba.
Ni hilo tu wadau
Hivi, kwenye vyombo vya usafiri si lazima kuwe na vyombo vya tahadhari?, hili najua kila mtu anajua. Kwenye magari kuna mikanda, kwenye ndege kuna mikanda,life jackets na hata zingine zina parachutes.
Mimi sijawahi kupanda meli, hivyo ningeomba kuuliza wale waliopanda. Hivi wakati mmekaa kwenye viti vinakuwa na mikanda navyo? na itakuwaje kama serikali ikaamua kupitisha sheria ya vyombo vya majini kwamba kila abiria avae life jacket kabla chombo hakijang'oa nanga na abiria ambaye atakiuka masharti basi atashtakiwa?
Mimi nadhani siku nitapanda chombo cha majini, sitajali inakuwaje nitakachofanya ni kuvaa life jacket ndio nikae kwenye kiti, sitajali kama nitaonekana mshamba.
Ni hilo tu wadau