wanaojulikana
JF-Expert Member
- Sep 14, 2017
- 576
- 901
Nisaidieni jamani Jana nimemskia jamaa mmoja akisema hivyo mbele za watu.
Ttzo ni exposure yake imeishia hapo. Ktk mabingwa wa kutengeneza meli wagiriki wako mbele sana hata baadhi ya maandishi yanathibitisha hilo. TumsameheNisaidieni jamani Jana nimemskia jamaa mmoja akisema hivyo mbele za watu.
Asante kwa ufafanuzi.Ttzo ni exposure yake imeishia hapo. Ktk mabingwa wa kutengeneza meli wagiriki wako mbele sana hata baadhi ya maandishi yanathibitisha hilo. Tumsamehe
Kuna Holland, wako vizuri sana.Nadhani ni ugiriki na ufilipino.
Mkuu nashukuru kwa ufafanuziKuna Holland, wako vizuri sana.
Haiwezi kuwa ufilipino.
Ila south Korea wako vizuri sana kwa meli za mizigo
Ni kweli South Korea ni moja ya nchi zinazoongoza duniani kwa ujenzi wa meli. Hata baadhi ya kampuni kubwa za ujenzi wa meli za ulaya zinamilikiwa na kampuni za Korea ya Kusini mfanoNisaidieni jamani Jana nimemskia jamaa mmoja akisema hivyo mbele za watu.
usiende pembeni kwa muuliza swali, jamaa anataka fact sio politika mkuu.Halafu inategemea source ya fund ya kununua hiyo meli inatoka wapi. Kama ni South Korea, basi masharti yao ni kwamba kampuni itakayojenga meli itatoka huko huko South Korea!!!! Tenda tangazwa kwa makampuni ya South Korea. Kama ilivyokuwa kwenye ujenzi wa MUHAS pale Mloganzila!!
Ttzo ni exposure yake imeishia hapo. Ktk mabingwa wa kutengeneza meli wagiriki wako mbele sana hata baadhi ya maandishi yanathibitisha hilo. Tumsamehe
Kwani ss tuanahitaji meli ya mizigo au abiria? Wanaoongoza ni China ikifuata Japan kisha hiyo kampuni ya Hyundai ambayo ipo s Korea. Ila Japan inaongoza kwa kuwa na makapuni mengi zaidi.Huwezi kufananisha Ugiriki na korea kwa ujenzi wa Meli kubwa za mizigo, South korea ndio kwenye Ship building yard kubwa na Project kubwa za ujenzi wa meli za mizigo.. Ugiriki labda Cruise ship aka meli za abiria na starehe..
Unategemea watz wamupe majibu??Nisaidieni jamani Jana nimemskia jamaa mmoja akisema hivyo mbele za watu.