Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,599
- 217,991
Waziri Mkuu wa Tanzania Mh Kasimu Majaliwa ni miongoni mwa wadau walioambulia Tuzo kutokana na mchango wao kwenye maendeleo ya soka la Tanzania , tunashukuru sana kwa waliompa tuzo hiyo kwa kutambua mchango wake ambao sisi wengine hatujawahi kuuona.
Bali sisi watu wa soka tunataka kujua ni kipi alichokifanya kwenye soka Mh Majaliwa ambacho kimesababisha apewe tuzo hiyo?
Naomba kuwasilisha
Bali sisi watu wa soka tunataka kujua ni kipi alichokifanya kwenye soka Mh Majaliwa ambacho kimesababisha apewe tuzo hiyo?
Naomba kuwasilisha