nimebadika juzi
Senior Member
- May 29, 2015
- 183
- 29
Habari zenyu,
Mim naomba kujuzwa hili tumeckia rais ameenda kuaga wahisani lakini nchi nyingi anazoaga ni hizi za magharibi mfano Marekan na Denmark pamoja nchi za ulaya mfano Sweden, Uingereza, na nyingine za mashariki ya mbali mfano China n.k.
Je, hakuna nchi za kiarabu ambazo zilikuwa ni wahisani wa nchi yetu?
Naomba kufahamishwa
Asanteni.
Mim naomba kujuzwa hili tumeckia rais ameenda kuaga wahisani lakini nchi nyingi anazoaga ni hizi za magharibi mfano Marekan na Denmark pamoja nchi za ulaya mfano Sweden, Uingereza, na nyingine za mashariki ya mbali mfano China n.k.
Je, hakuna nchi za kiarabu ambazo zilikuwa ni wahisani wa nchi yetu?
Naomba kufahamishwa
Asanteni.