Kuuliza si uchochezi: Hivi yule dereva wa taxi anayetuhumiwa kushiriki katika tukio la kutekwa kwa MO amewahi kupandishwa kizimbani?

Mo atokee kwani hajipendi
Mtu sensitive hivyo atangazwe alipo kweli unamtakia mema au? Mbona nilimwona Manara akiishangilia timu yake juzi?? Mbona huulizi alitoka lin i? Nadhani hutapata jibu unalohitaji kwa sababu utavuruga upelelezi. Tulia tu kwani Mo kishatokea.
 
Back
Top Bottom