Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,011
- 144,371
Wadau,hivi yule dereva taxi anaetuhumiwa kushirikiana na watu wanaodaiwa kumteka Mo amewahi kufikishwa mahakani?
Au upelelezi bado unaendelea?
Na kama unaendelea; je,si kweli kuna watu huwa wanashitakiwa na kupelekwa mahakamani wakati upelelezi ukiendelea?
Alafu mtuhumiwa yuko mahabusu ya wapi?
Kama yuko mahabusu waliopelekwa Mhe Mbowe na Mhe.Matiko,nawashauri wakiwa huko wajaribu kupata taarifa zake kama kweli yuko huko.
Na kama ameonekane hahusiki; je,kaachiwa?
Ni hayo tu.
Au upelelezi bado unaendelea?
Na kama unaendelea; je,si kweli kuna watu huwa wanashitakiwa na kupelekwa mahakamani wakati upelelezi ukiendelea?
Alafu mtuhumiwa yuko mahabusu ya wapi?
Kama yuko mahabusu waliopelekwa Mhe Mbowe na Mhe.Matiko,nawashauri wakiwa huko wajaribu kupata taarifa zake kama kweli yuko huko.
Na kama ameonekane hahusiki; je,kaachiwa?
Ni hayo tu.