Kuna mtu anaweza kunipa takwimu za JK kuiwa amesha enda Mbeya kuwashukuru wananchi kw akumchagua mara ngapi ? NImekumbuka bada ya wazee wa Kyela kuja juu .Naombeni taarifa kama kuna kumbukumbu wakubwa
hawa wazee kamba tu! Kama wale wazee wa Kihehe, walivyoipiga mkwara serikali na kuipa wiki mbili kuelezea kifo cha Balali, na kusema la sivyo "wataporomosha" wale wote waliohusika na kifo cha Balali!! wako wapi sasa!!
Wazee walikuwa zamani kwani walikuwa wanasema na kutekeleza, na hata Nyerere aliwajua ("tambuka" kwa Mzee Tambaza!)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.