Kuuelewa Mgogoro wa CHADEMA na Kuumaliza Kuuelekea 2015

Looking forward to the rest of it. Good writing and health for those who really needs to get insight of never ending quarrels in political parties.
 
Nakubaliana na wewe lakini siku hizi katika mgogoro ndani ay CDM umeonesha upande waziwazi.

Tatizo lako Mzee Mwanakijiji kupitao coments zako,like unazotoa kwa wachangiaji hasa wanaoponda Zitto na wenzake inaonesha wazi uko upande gani hauko neutral. hivyo wanaofurahishwa na bandiko lako hapa ama hawafutailii michango yako katika mitandao mbalimbali!

Katika taarifa ya Zitto kuvuliwa nyadhifa aliandika hivi.


Well, if confirmed inanikumbusha TANU 1958 na 1963. Hili limeachwa kwa muda mrefu mno hadi limefika hapa. Lilitakiwa lisipate nafasi ya kufika hapa kabisa.

Pia katika huu uzi (ulioleza muhimu wa kUfanya mabadiliko ndani ya CDM uliolenga kuonesha kuwa akian Ziito hawafai ) ulinadika hivi

Nimepitia tena hii mada na kuiangalia tena na tena na kuangalia kama kuna kitu ningerekebisha; sikukiona. Naisimamia kwa 100%
 
Last edited by a moderator:
Nionavyo ni kwamba huu mgogoro wa chama chetu ni sehemu ya migogoro ambayo imekiimarisha chama na kukifikisha hapa kilipo. Kama Mwanakijiji alivyosema mwanzo kuwa jeshi la Tanzania linaaminika kuwa ni jeshi lenye nguvu hasa kutokana na nidhamu yake, basi hata CHADEMA ni kimekuwa chama chenye nguvu zaidi ikilinganishwa na vyama vingine vya upinzani Tanzania kutokana na kulinda na kutunza nidhamu ndani ya chama.
Sio mara ya kwanza kwa chama kuchukua hatua kama hii, tofauti tu ni kwamba walioguswa kwa sasa ni bigger fish ukifananisha na waliokwisha kuguswa kabla. Hali kama hii ikitokea kwa vyovyote vile lazima chama kionekane kama kina msukosuko fulani lakini baada ya muda hurusi katika uimara na kustawi zaidi.
 
Nionavyo ni kwamba huu mgogoro wa chama chetu ni sehemu ya migogoro ambayo imekiimarisha chama na kukifikisha hapa kilipo. Kama Mwanakijiji alivyosema mwanzo kuwa jeshi la Tanzania linaaminika kuwa ni jeshi lenye nguvu hasa kutokana na nidhamu yake, basi hata CHADEMA ni kimekuwa chama chenye nguvu zaidi ikilinganishwa na vyama vingine vya upinzani Tanzania kutokana na kulinda na kutunza nidhamu ndani ya chama.
Sio mara ya kwanza kwa chama kuchukua hatua kama hii, tofauti tu ni kwamba walioguswa kwa sasa ni bigger fish ukifananisha na waliokwisha kuguswa kabla. Hali kama hii ikitokea kwa vyovyote vile lazima chama kionekane kama kina msukosuko fulani lakini baada ya muda hurusi katika uimara na kustawi zaidi.

This will apply if, and only if, Zitto will get a fair treatment.

At the moment it doesn't look like Chadema "owners" are willing to handle this matter democratically in accordance with the constitution.

The true colors of Chadema are now evident and what was once thought to be anti-chadema propaganda is proven to be a reality.

Chadema is going down.
 
Mtu ukishajua anasimamia upande gani hakupi shida.

This is politics. Kuna watu wanajifanya pundits lakini the truth of the matter ni kwamba wako kwenye "marketing".

Huwezi kufanya upembuzi yakinifu kabla hujafanya declaration of interest, ili wasomaji wawe aware wanasoma mawazo ya mrengo gani.

This analysis will not be neutral.
Ukimaliza kusoma nidhamu ya chama na nidhamu ya demokrasia muelekeo umekwishajionyesha! Subira Huvuta kheri!
 
Ni matumaini yangu, makala itasaidia kunielewesha juu ya tofauti kati ya Nidhamu ya uoga na nidhamu halisi.

Itaelezea kwa kina je kutokutii Amri haramu ni sehemu mojawapo ya nidhamu?.

Je nidhamu ya kijeshi ni Universal?, kwamba hiyo hiyo ndiyo inayotakiwa katika orgization za kisiasa, au hata bureaucratic institutions?.

Na pia Itasaidia kuelezea mchakato wa haki, ni utaratibu gani ambao ni mujarrab wa utoaji haki kwa mwanachama, ili isije ikawa kutofautiana na mwanachama fulani ikachukuliwa kuwa umetofautiana na Chama kizima.

Mkuu haya ndiyo mawazo waliyo nayo Republican Tea-partiers, lakini angalia ni namna gani wameleta distraction kubwa iliyocost chama chao to this date. And they keep doing it sababu wanaamini hmna haja ya kuwa na nidhamu especially to those they define as RINO (Republican In The Name Only). Ni kweli ajenda yao imesikika lakini je mwenendo wao una gharama gani kwenye chama chao kiujumla?
 
kazi nzuri mmkj...

Ila nikukumbushe kuwa nchi yetu haina mfumo wowote, either wa siri au wa wazi wa kulea na kukuza viongozi. Tusitarajie kupata viongozi bora kama tumewalea hovyo hovyo.

Hawa vijana wa sasa wenye tamaa ya hali ya juu ya madaraka hawana nidhamu ya uongozi, hawakulelewa kokote kule kuwa viongozi. wengine walibatizwa kwa moto, kwa kupata ubunge wakati wakiwa hawajawahi hata kuajiriwa.

Kwa mfumo huu tutegemee nchi yenye viongozi duni zaidi miaka ijayo, hasa sisi vijana wa sasa...

you made my day!
 
Nakubaliana na wewe lakini siku hizi katika mgogoro ndani ay CDM umeonesha upande waziwazi.

Tatizo lako Mzee Mwanakijiji kupitao coments zako,like unazotoa kwa wachangiaji hasa wanaoponda Zitto na wenzake inaonesha wazi uko upande gani hauko neutral. hivyo wanaofurahishwa na bandiko lako hapa ama hawafutailii michango yako katika mitandao mbalimbali!

Katika taarifa ya Zitto kuvuliwa nyadhifa aliandika hivi.




Pia katika huu uzi (ulioleza muhimu wa kUfanya mabadiliko ndani ya CDM uliolenga kuonesha kuwa akian Ziito hawafai ) ulinadika hivi

Tatizo ni kuwa tayari ulikuwa na wazo labda nimemaanisha nini. Hauko kichwani mwangu kama ungetaka kuelewa ungeuliza siyo kuhitimisha kichwani mwako tu.
 
This will apply if, and only if, Zitto will get a fair treatment.

At the moment it doesn't look like Chadema "owners" are willing to handle this matter democratically in accordance with the constitution.

The true colors of Chadema are now evident and what was once thought to be anti-chadema propaganda is proven to be a reality.

Chadema is going down.

Hii "imani" ndiyo imemsababishia Zitto matatizo. Mnajiaminisha kwamba Zitto ndiye anayebeba upande wa pili wa CDM unaoonyesha kwamba sio chama cha kikanda, neither ni cha kidini. Hali hii imemsababishia Zitto kuvimba kichwa, akiamni kuwa chama hakiwezi kumfanya kitu kwani bila yeye CDM ni ya wachaga, CDM ni ya wakristo. Mnamdangaya na mmempoteza.
Ni kweli Zitto alikuwa moja ya icon muhimu sana kwa CDM na umoja wake. Sikatai kuwa Zitto alikuwa moja ya mihimili na kivutio kikubwa cha vijana ndani ya CDM. Lakini ali-mess up. Mimi ni mojawapo wa mashabiki wakubwa sana wa Zitto (ndani na nje ya CDM). Lakini ukiniambia nichague mtu au chama changu, nitachagua chama changu...
 
Mtu ukishajua anasimamia upande gani hakupi shida.

This is politics. Kuna watu wanajifanya pundits lakini the truth of the matter ni kwamba wako kwenye "marketing".

Huwezi kufanya upembuzi yakinifu kabla hujafanya declaration of interest, ili wasomaji wawe aware wanasoma mawazo ya mrengo gani.

This analysis will not be neutral.
be blessed my dear TRUE CITIZEN..
bila kulijua hilo kwanza, hata maana ya kulisoma hilo andiko inapotea.. it doesn't need special brains to notice the general concept under this article
 
Naona uwezekano mkubwa Mzee Mwanakijiji kama binadamu akajikuta ana badili baadhi ya maandishi yake yajayo ili aonekane neutral.
Acheni kumshawishi na kumlazimisha awe kinyume na msukumo wake hivyo kuharibu makala ambazo naamini tayari amekwisha andaa vitu vingi.
Mwenye hoja apangue alichoandika na si kumtaka awe neutral kwenye issues zinazohitaji msimamo mmoja tu.
 
Last edited by a moderator:
Mwisho wa siku utakuja na haya mawili either wafukuzwe uwanachama au wawekwe chini ya uangalizi mkali kwa kipindi flani cha muda bila kushiriki katika kazi za chama. Mtu kama Mzee Mwanakijiji ni simple kukuelewa pamoja na kwamba unazunguka zunguka sana lakini direction yake ipo wazi.
 
Last edited by a moderator:
Naona uwezekano mkubwa Mzee Mwanakijiji kama binadamu akajikuta ana badili baadhi ya maandishi yake yajayo ili aonekane neutral.
Acheni kumshawishi na kumlazimisha awe kinyume na msukumo wake hivyo kuharibu makala ambazo naamini tayari amekwisha andaa vitu vingi.
Mwenye hoja apangue alichoandika na si kumtaka awe neutral kwenye issues zinazohitaji msimamo mmoja tu.

Neutrality is a position for the weak and the fearful. I'm not neutral; however, I am extremely impartial. Sehemu ya pili inafuatia dakika chache zijazo.
 
Back
Top Bottom