Loeb S Mpalasinge
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 1,356
- 1,161
U mean yuko TOO LOCAL
pamoja na visafari vya Ujerumani na Malysia ?
VISAFARI vya mkakati,,si unaona kwenye ule waraka Dr kitila alisema mambo mengine inabidi wayaongelee nje ya nchi.! Na huyo mshabiki mchumia tumbo wa Lowassa anakuja hapa anasema Pro-CDM hawawawezi kumuelewa Mzee MM.!! Akasahau kuwa anamtukana na pandikizi wao bora angekuwa subjective.