Kuuelewa Mgogoro wa CHADEMA - 5: Wanasiasa Wetu Watatu - Mbowe, Slaa na Zitto...

Leo umeonyesha ni jinsi gani usivyokuwa bendera fuata upepo kama vilaza wengine wa chadema wanaokubali kuongozwa na kuburuzwa na akili fupu huku matusi wakiweka mbele kuwakashifu akina zitto bila kuangalia madhara yake. Kwa kuwe wewe ndio ulioandika waraka huu na wewe wanachadema wanakukubali sana angalau hutapata sana matusi lakini kama waraka huu ungeandikwa na mtu mwingine sasa ungekuwa umeshaogolea matusi mengi sana. Hongera sana MM kwa kuzungumza fact, namna hii chama kitaimarika sio kwa kuoneana haya.
 
Mzee Mwanakijiji

Asante kwa uchambuzi wako fasaha, as always. Makala yako inasomeka vizuri sana isipokuwa unanikwaza tu pale unapotumia neno KUANISHA au KUAANISHA.

Hakuna neno la Kiswahili kama ANISHA au AANISHA. Neno sahihi ni AINISHA (categirize, classify, break-down) linalotokana na neno AINA (category, class, order).

Big-up mkuu. Nasubiri kwa hamu tamati ya hii makala.
 
Ukisummarize makala hii ya MMJ, unapata maneno machache sana kuielezea Chadema. CHADEMA IMEKOSA DIRA NA MUELEKEO. Na sababu kubwa ya Kukosa dira ni kwa Sababu Mwenyekiti hana dira.
Solution ni nini?- NI KWA MWENYEKITI KUONDOKA, ATAONDOKAJE? EITHER AJIUZULU AU ASHINDWE KATIKA UCHAGUZI.

Hapa ndipo utakapouona Ugenius wa Mwigamba na Kitila, Akina Mwigamba waliamua kutumia njia ya kidemokrasia kujipanga ili Kumuondoa mwenyekiti asiye na "Vision". Badala ya baadhi ya Wanachadema kumuunga mkono, mkamshambulia. HAWA WATU WALITAKA KUINUSURU CHADEMA DHIDI YA INCOMPENTENCY NA UBADHIRIFU WA MWENYEKITI ILI KUKINUSURU CHAMA.
 
gize:

yaani matukio haya yoote ni ya bahati mbaya kwa zitto??

2. UKAFANYIKA MKUTANO MOROGORO.. VURUGU ZIKAZUKA ALLY ZONA KIJANA WA WATU AKAFA ZITTO HAYUPO..
3. CHAMA KIKAENDELEA NA M4C IRINGA , VURUGU ZIKAZUKA, MWANGOSI AKAFA... ZITTO HAYUPO
4. KWENYE UCHAGUZI WA ARUMERU MASHARIKI, CHAMA CHOTE KIPO ARUMERU.. ZITTO ANATANGAZA KUTAKA KUGOMBEA UENYEKITI..., AKAJA FIELD SIKU 1 KBALA YA MKUTANO KWISHA
5. KIGOMA ANAKOTOKA USHAWISHI WA CHADEMA NI MDOGO UKILINGANISHA NA JINA LAKE KATIKA SIASA.. 2010 CHADEMA HAIKUPATA HATA JIMBO MOJA EXTRA KIGOMA
6. SINTOFAHAMU YA LWAKATALE INATOKEA, CHAMA CHOTE KINAKAA PAMOJA NA LWAKATALE ZITTO ANATOKEA FACEBOOK NA TWITTER AKIDAI LWAKATALE AFUKUZWE
7. KAULI ZA ZITTO KILA SIKU NI ZA UMIMI NA UMOJA NAFSI YA KWANZA, NINAFANYA, NILIFANYA, BILA MIMI, MIMI.. MIMI...
8. UCHAGUZI WA KATA 4 ARUSHA , NAPE NA MWIGULU MADELU WANAWATAHADHARISHA WANAARUSHA WASIENDE KWENYE MKUTANO WA CHADEMA MAANA KUNA JAMBO BAYA LITATOKEA, TIMU YOTE KUBWA YA M4C IPO ARUSHA KWELI BOMU LINATOKEA WATU WANAKUFA ZITTO HAYUPO...


Huyu ni kufukuza kwenye chama haraka sana! Liwalo na liwe
 
Makala bora sana,

Kiukweli sina la kuongeza hasa udhaifu wa viongozi wawili wa juu wa CDM lakini nadhani upande wa Zitto unaweza kuwa mpana zaidi.Kutokuaminika kwa Zitto kumechangiwa sana na kauli zake nyingi ambazo hazijengi chama chake na ni kauli za kujitenga yeye na udhaifu wa chama chake.

Pamoja na Zitto kuwa kijana mwenye uwezo mkubwa sana lakini kuna hulka ndani yake (ubinafsi) ambayo inakatisha tamaa kama anaweza kuishinda mwenyewe.Zitto ni kama anapenda yeye kuwa juu ya kila kitu na sidhani kama hata akiwa mwenyekiti ataweza kukubali fikra mbadala kama anavyodai sasa.

Binafsi siwezi kuwa mnafiki kwa kukataa ukweli juu ya uwezo wa Zitto lakini hajengi mazingira ya kumuamini kama kiongozi wa taasisi.Nadhani pengine Mbowe alikuwa na nia njema kwa hawa vijana akijua ndio wangekuja kuipeleka CDM ikulu lakini nidhamu na haraka zao kutaka madaraka zinaogopesha hasa kutokana na siasa za CCM ambazo kwa Afrika ni moja ya chama kikongwe na chenye kila mbinu kumaliza upinzani.

Nakubali tunahitaji msukumo mpya kuelekea 2015 lakini msukumo mpya unatoka kwa watu wanaoaminika na watii kwa chama.Siasa si uadui lakini pia siasa sio urafiki tu bali kuna mipaka ambayo itaweza kufanya wewe kama kiongozi uonekane unaweza kuchukua hatua kwa yeyote.

Mwisho wapiganaji walio mstari wa mbele muwe na msimamo na mtu anapokosea akosolewe pale pale bila kusikilizia upepo ili ujue useme nini.Kauli za wanasiasa hawa kama za kumuita kiongozi wako "kibabu" alafu mtu anajua wewe ndio umetamka hayo si kitu kizuri hata kidogo na ukosefu wa heshima kwa vijana hawa.Kijana kama Zitto anapokosea wazi kwa kauli zake mara nyingi wapiga kelele ni wachangiaji wa kawaida kabisa mitandaoni huku wale manguli wakiwa kimya!! Tunafanya yale yale tunayosema viongozi wa juu wanakosea.

Nitasema ukweli daima! Fitna kwangu ni mwiko! Tanzania kwanza!

You are an intelligent boy of your age! Thanx 4 ur gud short and precise analysis.
 
gize:

yaani matukio haya yoote ni ya bahati mbaya kwa zitto??

2. UKAFANYIKA MKUTANO MOROGORO.. VURUGU ZIKAZUKA ALLY ZONA KIJANA WA WATU AKAFA ZITTO HAYUPO..
3. CHAMA KIKAENDELEA NA M4C IRINGA , VURUGU ZIKAZUKA, MWANGOSI AKAFA... ZITTO HAYUPO
4. KWENYE UCHAGUZI WA ARUMERU MASHARIKI, CHAMA CHOTE KIPO ARUMERU.. ZITTO ANATANGAZA KUTAKA KUGOMBEA UENYEKITI..., AKAJA FIELD SIKU 1 KBALA YA MKUTANO KWISHA
5. KIGOMA ANAKOTOKA USHAWISHI WA CHADEMA NI MDOGO UKILINGANISHA NA JINA LAKE KATIKA SIASA.. 2010 CHADEMA HAIKUPATA HATA JIMBO MOJA EXTRA KIGOMA
6. SINTOFAHAMU YA LWAKATALE INATOKEA, CHAMA CHOTE KINAKAA PAMOJA NA LWAKATALE ZITTO ANATOKEA FACEBOOK NA TWITTER AKIDAI LWAKATALE AFUKUZWE
7. KAULI ZA ZITTO KILA SIKU NI ZA UMIMI NA UMOJA NAFSI YA KWANZA, NINAFANYA, NILIFANYA, BILA MIMI, MIMI.. MIMI...
8. UCHAGUZI WA KATA 4 ARUSHA , NAPE NA MWIGULU MADELU WANAWATAHADHARISHA WANAARUSHA WASIENDE KWENYE MKUTANO WA CHADEMA MAANA KUNA JAMBO BAYA LITATOKEA, TIMU YOTE KUBWA YA M4C IPO ARUSHA KWELI BOMU LINATOKEA WATU WANAKUFA ZITTO HAYUPO...


Huyu ni kufukuza kwenye chama haraka sana! Liwalo na liwe

wabunge wate wanakuja kuomboleza tinunapigwa mabomu kwa saa nne Zitto hayupo na hakuwahi kutoa pole kama masisimu tu..
 
MziziMkavu

Ile ndege ilitua pale uwanjani saa 13:12 kwa masaa ya hapa Tanzania na nilipata bahati ya kuwepo pale pembezoni mwa uwanja na member wa kwanza kupost thread ile ni Mimi ila nimeshangaa baada ya PakaJimmy kupewa heading ya thread.

SIYO SAA 9

Ukilala kidogo tu lazima ukatwe kidizaini fulani....pole mtoa maada naona wamekwisha kata uzi wako na kubambikiziwa mwingine ambae anatudanganya hata na muda wa tukio...tumwombe apost picha kama ulivyo fanya wewe mkuu!
 
Last edited by a moderator:
Zitto was a loser in this saga.

Mkumbo,mchange,mwigamba,Mghwira wote waliishia kurudi CCM!!

Ni wakati sasa aungane na Mbowe kuelekea october wote wamejifunza kitu nadhani.
 
Mbowe sasa anazama

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Zitto kafanya progress gani hku bara? Kwenye hii vita zitto ndio alipoteza!!.

Hivi Kuna jimbo moja hta kigoma ambalo ACT lina outright chance ya kushinda?

Mkwamo wa kisiasa ni kwa vyama vyote sababu ya aina ya mazingira ya sasa

Ila bado haibadili ukweli kuwa wote wanahitajiana ili kuunganisha nguvu ya Bara na zanzibar kuing'oa CCM.
 
Back
Top Bottom