Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
KUTEKWA, kuteswa na kuuwawa kwa Daniely John Katibu wa CHADEMA Hananasif, zipo taarifa kuwa Jeshi la Polisi Dar es Salaam linawashikilia watu 3 juu ya tukio hilo, miezi 3, sasa, Kituo cha Oysterbay, bila kuwafikisha mahakamani. Polisi waseme uchunguzi umefikia wapi!