Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,293
- 217,270
Hili ni angalizo kwa wachovu wa akili na mawazo kutoka ccm , ni kwamba hizi kampeni mnazozifanya za kuua vyama vya upinzani kwa kutumia Bunge , ofisi ya Msajili wa vyama , RITA , Uhamiaji , Polisi pamoja na vyombo vingine vya dola haitaokoa ccm wala wapambe wake , ccm imekataliwa na Mungu , waganga na wachawi hawawezi kuiokoa .
Kwa mfano , Baada ya dhuluma ya 2015 kule Zanzibar na baada ya Jabali Maalim Seif kujiondoa kwenye kilichoitwa uchaguzi wa marudio , ccm ilijitangazia ushindi wa jumla wa 100% japo waliojitokeza kupiga kura za marudio hayo walikuwa 57 , 850 , hii ni baada ya Wazanzibar wenye haki ya kupiga kura KUTII agizo la chaguo na kipenzi chao Maalim Seif la kususia uchaguzi ule feki ambao mmoja wa waangalizi wa ndani alikuwa Ali Karume.
Lengo langu si kurudia yaliyopita bali nilikuwa najaribu kuweka kumbukumbu sawa , hoja yangu ni kuwajulisha mamluki na wanafiki wa ccm kwamba pamoja na ccm kuachiwa Zanzibar kwa 100% lakini imeishia kushindwa hata kulipa wafanyakazi wake mishahara , kiasi cha kuombaomba hela kwa wafanyabiashara wa Kipemba , wale wale wanaoitwa Hizbu ! hili ni jambo la kujifunza , kwamba kumbe hata tukikazana kuuwa vyama vingine na kubakisha ccm pekee bado hatutafanikiwa chochote , hii ni kwa sababu ccm imepigwa laana na Mungu mwenyewe , hii mipango mnayofanya ya kuuwa upinzani kwa uchawi na kwa kutumia dola haitaibadili laana mliyopigwa na Mungu , iangalieni Zanzibar kama darsa la kujifunzia , hamuwezi kufanikiwa hata kama mmejaa Kibri .
Nakala : JABIRI IDRISA
Kwa mfano , Baada ya dhuluma ya 2015 kule Zanzibar na baada ya Jabali Maalim Seif kujiondoa kwenye kilichoitwa uchaguzi wa marudio , ccm ilijitangazia ushindi wa jumla wa 100% japo waliojitokeza kupiga kura za marudio hayo walikuwa 57 , 850 , hii ni baada ya Wazanzibar wenye haki ya kupiga kura KUTII agizo la chaguo na kipenzi chao Maalim Seif la kususia uchaguzi ule feki ambao mmoja wa waangalizi wa ndani alikuwa Ali Karume.
Lengo langu si kurudia yaliyopita bali nilikuwa najaribu kuweka kumbukumbu sawa , hoja yangu ni kuwajulisha mamluki na wanafiki wa ccm kwamba pamoja na ccm kuachiwa Zanzibar kwa 100% lakini imeishia kushindwa hata kulipa wafanyakazi wake mishahara , kiasi cha kuombaomba hela kwa wafanyabiashara wa Kipemba , wale wale wanaoitwa Hizbu ! hili ni jambo la kujifunza , kwamba kumbe hata tukikazana kuuwa vyama vingine na kubakisha ccm pekee bado hatutafanikiwa chochote , hii ni kwa sababu ccm imepigwa laana na Mungu mwenyewe , hii mipango mnayofanya ya kuuwa upinzani kwa uchawi na kwa kutumia dola haitaibadili laana mliyopigwa na Mungu , iangalieni Zanzibar kama darsa la kujifunzia , hamuwezi kufanikiwa hata kama mmejaa Kibri .
Nakala : JABIRI IDRISA