Hawachi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 12,012
- 54,174
Ndugu yangu hili ni la jumuiya home sio langu mpendwaUna nyota ya ufundi garage.
Niuzie kabati nguo zangu mie nimezijaza kwenye mfuko wa rumbesa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu yangu hili ni la jumuiya home sio langu mpendwaUna nyota ya ufundi garage.
Niuzie kabati nguo zangu mie nimezijaza kwenye mfuko wa rumbesa.
Kama ipi kwa mfano?tiba ninayo ukihitaji
Kama ipi kwa mfano?
Yes wa kulundika nguoKama na wewe una huo ugonjwa sema natibu.
Haya ndugu yangu nimeskia kilio chako.Ndugu yangu hili ni la jumuiya home sio langu mpendwa
tiba ninayo ukihitaji
Yes wa kulundika nguo
Kabatini nina nguo nyingi ila nina kaugonjwa mwingine nikishikilia nguo moja hiyo hadi niikinai.
Sawa ndugu yangu asante kwa kuandika mimi ni fundi garage.Haya ndugu yangu nimeskia kilio chako.
Huu ugonjwa nimeupenda
Pm tena mzee babaJikusanyeni mkifika 5 njooni pm
Wewe huu ugonjwa ushakuathiri zaidi. Nitakupa kipaumbele. Wewe uje mwenyewe tu.
Anhaa okayHahaha hapana yaani kuna nguo naweza kuludia kama mara mbili kwa wiki moja watu wangu wa karibu huwa wananiuliza hizi nguo nyingine si uzigawe 😄😄😄
Tehteh...Sawa ndugu yangu asante kwa kuandika mimi ni fundi garage.
Oouh...sawa sawa.Basi mimi mgonjwa,kuna nguo nimenunua hata sijawahi zivaa,some time nashtukia kumbe nilinunua hii nguo?
Siko serious ni utani.Tehteh...
Usije ukawa umenimind tu.