Mmmmmh!Unakua na nguo za ndani zimechakaa unashindwa hata kuzichoma moto kuna ex wangu flan wa kichaga anapesa kweli na mzuri kweli siku hiyo kaja home kumbe ndio siku aliyovaa chupi imetoboka kwa kweli nilimdharau na kumshusha
Thamani
Hahaaa....jamaniUnakua na nguo za ndani zimechakaa unashindwa hata kuzichoma moto kuna ex wangu flan wa kichaga anapesa kweli na mzuri kweli siku hiyo kaja home kumbe ndio siku aliyovaa chupi imetoboka kwa kweli nilimdharau na kumshusha
Thamani
Haha haha sio poaMfano Faiza na lichupi lake
JF inatufanya tutoe ya moyoni na wengine wajifunzeHahaaa....jamani
Kwani dhambi?JF inatufanya tutoe ya moyoni na wengine wajifunze
Unakua na nguo za ndani zimechakaa unashindwa hata kuzichoma moto kuna ex wangu flan wa kichaga anapesa kweli na mzuri kweli siku hiyo kaja home kumbe ndio siku aliyovaa chupi imetoboka kwa kweli nilimdharau na kumshusha
Thamani
Hamna dhambiKwani dhambi?
Unakua na nguo za ndani zimechakaa unashindwa hata kuzichoma moto kuna ex wangu flan wa kichaga anapesa kweli na mzuri kweli siku hiyo kaja home kumbe ndio siku aliyovaa chupi imetoboka kwa kweli nilimdharau na kumshusha
Thamani
Mnawezaje kununua nguo usivae.?Mi nkinunua nguo Leo mchana nkifika nyumbani naifua inalala kwenye kamba asubuhi pasi naitia mwilini.Basi mimi mgonjwa,kuna nguo nimenunua hata sijawahi zivaa,some time nashtukia kumbe nilinunua hii nguo?
HahahahahahMnawezaje kununua nguo usivae.?Mi nkinunua nguo Leo mchana nkifika nyumbani naifua inalala kwenye kamba asubuhi pasi naitia mwilini.
Ugonjwa unaitwaje?Unakuta mtu kamaliza perfume anatunza chupa, kamaliza lotion hatupi kopo dressing table imejaa kama dampo. Maviatu na nguo ya miaka nenda rudi havai, hagawi yanajaza tu space.
Jikoni sasa ndio hakufai.... Vikopo kama sita vya blueband iloisha, makontena ya ice cream, thermos imepasuka, hotpots zimechokaaaa... Yani vimejaa vinakua kama takataka jiko linakosa mvuto.
Huu Ni ugonjwa unaitwa Obsessive Compulsive Disorder ama Hoarding disorder.
Mara nyingine mtu ananunua kitu halafu hana matumizi nacho kinajaza tu nafasi. View attachment 1086416