Kutumia pesa nyingi kwenye harusi na ndoa kuvunjika baada ya muda mfupi

wolfpack

JF-Expert Member
Aug 6, 2013
1,140
1,348
Unaspend milioni 5-30 mkwenye harusi.

Unaspend tena million kadhaa kwenye pete ya ndoa

Alafu mpaka sasa mwaka 2018 ndoa kwisha, mmeachana.

Harusi ilikaa usiku mmoja. Pete ya harusi sasa haina thamani.

Nimeona niseme hivi maana kasi ya ndoa kuvunjika ni kubwa sana zaidi ya 20%, watu mnaspendi pesa nyingi sana kwenye harusi na ndoa. Najua mwingine anaweza kusema hujui unachozungumza, subiria wakati wako ufike.

Lakini kama mlikuwa hamna uhakika mtadumu, kwanini uhangaike kufunga ndoa na kufanya harusi. I does not add up, no sense at all??!! Lakini kwanini uhangaike kote huko alafu mwisho wa siku kila mtu achukue hamsini zake si bora mngebaki vile vile ki uwizi uwizi kuliko kuwa na historia kuwa ulioa/kuolewa ukaachika/ndoa kuvunjika? WANANDOA MLIOPATWA NA MIKASA EMBU TUSAIDIENI HAPA.

Ni mtazamo tu!
 
Mkuu mimi kama nina kipato cha mil 1 kwa mwezi kufanya harusi ya mil 5 sio dhambi maana nikijipanga kwa miaka mi 2 ninaweza kuisave..

Sasa kama mtu ana kipato cha mil 10 kwavmwezi ulitaka afanye harusi ya laki 9?
Halafu hizo pesa zote kazi yake itakuwa nini??
Kama mtu pesa anayo ni ruksa kufanya sherehe hata ya bil 1..maana pesa katafuta mwenyewe na hayo ndio matumizi yake..

Uzwazwa ni kufanya harusi ya mil 20 wakati una kipato cha laki 2...
 
Mkuu mimi kama nina kipato cha mil 1 kwa mwezi kufanya harusi ya mil 5 sio dhambi maana nikijipanga kwa miaka mi 2 ninaweza kuisave..

Sasa kama mtu ana kipato cha mil 10 kwavmwezi ulitaka afanye harusi ya laki 9?
Halafu hizo pesa zote kazi yake itakuwa nini??
Kama mtu pesa anayo ni ruksa kufanya sherehe hata ya bil 1..maana pesa katafuta mwenyewe na hayo ndio matumizi yake..

Uzwazwa ni kufanya harusi ya mil 20 wakati una kipato cha laki 2...

Nimeipenda sana hili jibu na ndo maana kuna msemo unasema " don't bite more than you can chew." Pia nimekurekebishia lets say 5m or less. Lakini kwanini uangaike kote huko alafu mwisho wa siku kila mtu achukue hamsini zake si bora mgebaki vile vile ki uwizi uwizi kuliko kuwa na historia kuwa ulioa/kuolewa ukaachika/ndo kuvunjika?
 
Afadhali huyo anayetumia hela nyingi kwa ndoa halafu inavunjika baada ya miezi michache, kuna watu anamnunulia Mwanamke gari la milioni 60 anatumia line za voda na tigo kwa wiki moja kwenye hoteli ya kifahali ya milioni 2 kwa siku, halafu akitoka hapo hana haja naye tena, na hizo line za tigo na voda anabadilisha anachukua mwingine, huyu nadhani ndiyo atakuchanganya zaidi
 
sometimes there is no need of attacking people due to what they post, if you don't like it just move on with your lives, everyone regardless their position they have a right to say anything as long as they don't go against them laws of the land.
 
Afadhali huyo anayetumia hela nyingi kwa ndoa halafu inavunjika baada ya miezi michache, kuna watu anamnunulia Mwanamke gari la milioni 60 anatumia line za voda na tigo kwa wiki moja kwenye hoteli ya kifahali ya milioni 2 kwa siku, halafu akitoka hapo hana haja naye tena, na hizo line za tigo na voda anabadilisha anachukua mwingine, huyu nadhani ndiyo atakuchanganya zaidi


Chief hapo bana umenena kabisa ila pia bora hata yeye kwa maana dhumuni lake ni kutumia na kusepa ila tukirudi upande ile wa pili nahisi bora wangefanya kama huyo cash money tu. Tafuna BG, ikiisha utamu chukua ingine au vipi? Ni mtazamo tu.
 
Iv kama natoa michango ya harusi kila hiitwapo leo than nkafunge harusi kimya kimya il iweje kwa mfano? Lazima nliowachangia wanichangie haijalishi ni ml50 au 100 lazima na zao ziliwe...hyo ya ndoa kudumu au kutodumu hayawahusu!
 
Nimeipenda sana hili jibu na ndo maana kuna msemo unasema " don't bite more than you can chew." Pia nimekurekebishia lets say 5m or less. Lakini kwanini uangaike kote huko alafu mwisho wa siku kila mtu achukue hamsini zake si bora mgebaki vile vile ki uwizi uwizi kuliko kuwa na historia kuwa ulioa/kuolewa ukaachika/ndo kuvunjika?
Mkuu wengine pesa inatafutwa kwa ajili hio..
Halafu kutengana na kudumu sio jambo la kupredict kirahisi..
Kuna watu walipendana sana enzi za uchumba lakink baada ya ndoa ikabuma...kwahio kupredict ni ngumu sana
 
Nashukuru mungu harusi zetu hazigharamiwi pesa nyingi hata ndoa ikivunjika hakuna majuto mazito kama hayo.
Just after swalat magharib au inshaa nachukua jiko huyooo home. Hizo milion zetu kadhaa nipeni nifanyie maisha.


Iyo imekaa sawa itabidi hata mm nifanye hivo mambo ya kuchangiwa bora nichukue iyo michango nifanye harambee tununue kiwanja ili kuishi na mamaa hahaha. Ila wananchi lazma waandamane maana watataka bia zao dadeq
 
Mkuu wengine pesa inatafutwa kwa ajili hio..
Halafu kutengana na kudumu sio jambo la kupredict kirahisi..
Kuna watu walipendana sana enzi za uchumba lakink baada ya ndoa ikabuma...kwahio kupredict ni ngumu sana


nakubaliana na wewe ila sasa hapo ndipo swali hili linakuja, unakuta watu wamekaa uchumba mpaka miaka 6 na zaidi lakini wakija kufanya ile mambo ndo inavunjika. Si pingi ndoa ila ni swali najiuliza kwanini? Au ni mitizamo inabadilika?
 
Iv kama natoa michango ya harusi kila hiitwapo leo than nkafunge harusi kimya kimya il iweje kwa mfano? Lazima nliowachangia wanichangie haijalishi ni ml50 au 100 lazima na zao ziliwe...hyo ya ndoa kudumu au kutodumu hayawahusu!

Bora hata wewe bro, umetoa jibu la ukweli " ukitaka kula, sharti kubali uliwe." ila pia kwa upande mwengine utakuwa unakosea maana huenda shemu hukumpenda ila ulitaka urudishe mkwanja wako kutoka kwenye michango ya awali??
 
Iv kama natoa michango ya harusi kila hiitwapo leo than nkafunge harusi kimya kimya il iweje kwa mfano? Lazima nliowachangia wanichangie haijalishi ni ml50 au 100 lazima na zao ziliwe...hyo ya ndoa kudumu au kutodumu hayawahusu!
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom