M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,020
Asante mkuu. Je unayo hotuba nzima ulikonukuu kipande chekundu hapo juu?Asante kwa mchango wako Mkuu Pakawa. Naamini 2015 CCM watarudisha sehemu kubwa sana ya majimbo yao yaliyokwenda upinzani, tena hata kwa ghilba. Tutaongea haya haya tena. Tuombeane uzima.
Nimnukuu Nyerere, "Tunataka Wakoloni watupe Uhuru wetu. Wasipotupa tutawashtaki Umoja wa Mataifa. Umoja wa Mataifa wasipotusikiliza tutawashtaki kwa Mungu. Mungu asipotusikiliza tutawashtaki kwa shetani."
Nukuu hii imebeba maana nzito....hivyo nadhani na hotuba yote ilikuwa na ujumbe mzito!!