At Calvary
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 4,513
- 3,554
Hii itapelekea uzembe kwa walimu na wanafunzi..!Una hoja ya maingi ila tatizo ni necta, wenzetu Kenya kabla ya kutunga mitihani wanafatilia shule zote kujua wamefundishwa mpaka wapi na wale walio nyuma wanahimizwa kuongeza juhudi halafu wanarudi mara ya pili kukagua, wakishakagua wanatunga mitihani pale wanafunzi walipoishiwa kufundiashwa lakinimpaka necta wamekazania kutunga kwa ajili ya syllabus.
Wakaguzi wa elimu wamekaa maofisini badala ya kufatilia wanafunzi wamefundishwa mpaka wapi